Tafuta mtu akupimie akurekebishie tatizo lako. Ukishindwa kabisa nicheck 0622 221 606. Sipo Dar kwa sasa ila nitakuwepo kuanzia J3 ijayo.Habarini Kwema !!!, na gari yangu aina ya Toyota Brevis nilinunua kwa mtu hii gari shida yake kubwa nikiwa naiendesha inazima tu gafra yani cjajua shida nn mana nilinunua mwezi wa 6 mwaka huu ilikuwa vzr tu.
Nilisafiri nayo kutoka Njombe kwenda Kyela kutoka kyela kwenda Dodoma nikatoka Dodoma nikaja nayo Dar ilikuwa poa tuu ila now nipo Dar kimara Suka ndo imeanza niletea manjegeka haya msaada....Nahitaji fundi mzuri wa kuweza kuni fixia hi gari yangu...
Fuel system ,fuel pump, nozzle nkHabarini Kwema !!!, na gari yangu aina ya Toyota Brevis nilinunua kwa mtu hii gari shida yake kubwa nikiwa naiendesha inazima tu gafra yani cjajua shida nn mana nilinunua mwezi wa 6 mwaka huu ilikuwa vzr tu.
Nilisafiri nayo kutoka Njombe kwenda Kyela kutoka kyela kwenda Dodoma nikatoka Dodoma nikaja nayo Dar ilikuwa poa tuu ila now nipo Dar kimara Suka ndo imeanza niletea manjegeka haya msaada....Nahitaji fundi mzuri wa kuweza kuni fixia hi gari yangu...
Pamoja sana bossKuna mdau nilimcheki humu amenisaidae aisee asanteni sana
Labda shida ilikuwa ni nini ?Asanteni sana Gari imepona shukrani kwa mawazo yenu....
Angejibu ningelishangaa sana.Labda shida ilikuwa ni nini ?
Na Anaingia www.jamiiforums.com Kila SikuAngejibu ningelishangaa sana.
Wabongo tulivo, ashapata msaada kayeya!!
Tuambie sasa ulikutana na changamoto gani....Asanteni sana Gari imepona shukrani kwa mawazo yenu....
Wabongo hata akikuuliza njia ni ngumu sana wakati wa kurudi kutoa shukurani kukwambia alifanikisha lengo lake na alifika ulipomuelekeza, atakupita hapo kama mgomba.....Angejibu ningelishangaa sana.
Wabongo tulivo, ashapata msaada kayeya!!