Naomba msaada wa kutatua tatizo la kuzima ghafla kwa gari hii Toyota Brevis

Naomba msaada wa kutatua tatizo la kuzima ghafla kwa gari hii Toyota Brevis

Ila ni nozzle zilikuwa zina shida....
Sasa umekataa nini na umefanya nini hapa.....?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hiki ndicho kilikuwa ni jibu la swali langu, haikuwa na haja ya wewe kujibu as if nilikuuliza kwa nia mbaya au ugomvi....
 
Habarini Kwema !!!, na gari yangu aina ya Toyota Brevis nilinunua kwa mtu hii gari shida yake kubwa nikiwa naiendesha inazima tu gafra yani cjajua shida nn mana nilinunua mwezi wa 6 mwaka huu ilikuwa vzr tu.

Nilisafiri nayo kutoka Njombe kwenda Kyela kutoka kyela kwenda Dodoma nikatoka Dodoma nikaja nayo Dar ilikuwa poa tuu ila now nipo Dar kimara Suka ndo imeanza niletea manjegeka haya msaada....Nahitaji fundi mzuri wa kuweza kuni fixia hi gari yangu...
Ramli yangu inaniambia kuwa gari yako inachemsha hivyo ili kulinda engine inabidi izime. Hakikisha mishale ya temperature inafanya kazi vizuri otherwise utaua engine. Kwa sasa ni hilo au angalia kama ina charge. Angalia dashboard usiangalie skirt tu barabarani
 
Nikwambie ili iweje na wakati msaada nishapata itakuwa haina maana kuelezea tatizo ambalo lishatatuliwa...
Vijana wa siku hizi vichwa vyenu havipo sawa, sijui ni maisha yanawachanganya akili hadi mnakuwa na jazba muda wote au basi ni damu chafu m'merithi kwenye koo zenu kujibu watu harsh bila sababu za msingi.

Mtu anakwambia kwa nia nzuri tu kwamba toa mrejesho kuwa ulikuta gari yako ilipatwa na changamoto gani na ulipopata msaada hapa ulitatuaje tatizo lako ili tu kushare na wenzako experience ya changamoto za magari, wewe unaanza kutoa kauli za jazba wakati ilikuwa ni issue very simple na ya kujibu humbly na kiuungwana tu......

Kama unahisi sikuwa na haja ya kujibiwa na wewe nambie na wewe ulikuwa na haja gani ya kuleta shida yako hapa kwenye platform hii ili ujibiwe na mtu yoyote atakaejitolea kukusaidia..... Ni vipi huo msaada ningekupa mimi hii jeuri ungekuwa nayo.....

Acha madharau na ngebe zisizo na mbele wala nyuma. Jifunze kuwa muungwana. Inakugharimu nini kumwambia mtu ulipambana na jambo fulani kwenye check up ya gari na mshare experience na yeye ajufunze kutoka kwako?!

Muwe mnafanya hormones check up unaweza kuta hormones hazijakaa sawa zimezidi kiwango.

Hormones za kiume zikizidi unahisi hali ya kutaka shari na kugombana muda wote unnecessarily wakati mambo mengine yanataka mtu kuwa muungwana tu.....
 
Msaada jaman na gari langu aina ist nlkua naendesha kuna mda illikua inazima lkn Leo natoka nyumbani asbh naelekea kazn gafula likazma na haliwaki tena linapokea moto ila ndo haliwaki
 
Msaada jaman na gari langu aina ist nlkua naendesha kuna mda illikua inazima lkn Leo natoka nyumbani asbh naelekea kazn gafula likazma na haliwaki tena linapokea moto ila ndo haliwaki
Mmmh pole sana mkuu
 
Ushauri wa wadau ni mzuri TU, kwamba gari ikiwa na tatizo la kuzimazima ni kuifanyia diagnosis
 
Back
Top Bottom