Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁 wakati mwingine ujifunze kuyaacha mambo yapite tu bila kukuumiza.Hii namba kapiga huyu jamaa akijifanya ni Airtel Customer Care na kuniambia amekosea kutuma hela laki moja.Huku akaunti yangu haina hiyo hela.Naomba mnisaidie kumripoti TCRA mnaojua,kanitukana sana nlipomgundua.Namba za Tapeli ni 0683595613
Hii namba kapiga huyu jamaa akijifanya ni Airtel Customer Care na kuniambia amekosea kutuma hela laki moja.Huku akaunti yangu haina hiyo hela.Naomba mnisaidie kumripoti TCRA mnaojua,kanitukana sana nlipomgundua.Namba za Tapeli ni 0683595613
Mkuu labda kama una access na Intelpol, polisi hawa wa Simoni Sirro ni majanga matupu... jiandae mtuhumiwaa wako awakatie hela kidogo tu hata haifiki 20,000/ alafu wewe mshitaki ndio utageuziwa kibao!Wamezoea sana,tumewavumilia sana,huyu nazaa nae mana atakua ananijua
Mwaya hata usipuuzie maana wapo wanaoingizwa kingiiWamezoea sana,tumewavumilia sana,huyu nazaa nae mana atakua ananijua
Hii namba kapiga huyu jamaa akijifanya ni Airtel Customer Care na kuniambia amekosea kutuma hela laki moja.Huku akaunti yangu haina hiyo hela.Naomba mnisaidie kumripoti TCRA mnaojua,kanitukana sana nlipomgundua.Namba za Tapeli ni 0683595613
Hii namba kapiga huyu jamaa akijifanya ni Airtel Customer Care na kuniambia amekosea kutuma hela laki moja.Huku akaunti yangu haina hiyo hela.Naomba mnisaidie kumripoti TCRA mnaojua,kanitukana sana nlipomgundua.Namba za Tapeli ni 0683595613
ukienda kureport utaonekana huna kazi ya kufanya ,umeshajua ni TP achana nae fanya unayohisi ni sahihi kwa wakati wakoHii namba kapiga huyu jamaa akijifanya ni Airtel Customer Care na kuniambia amekosea kutuma hela laki moja.Huku akaunti yangu haina hiyo hela.Naomba mnisaidie kumripoti TCRA mnaojua,kanitukana sana nlipomgundua.Namba za Tapeli ni 0683595613
MUHIMU! Usibofye linki +unayoishuku iliyotumwa kwa njia ya SMS. Simu yako inaweza kudukuliwa kwa tendo hili. Ripoti utapeli kwa kuituma hiyo SMS kwenye namba 15040.Hii namba kapiga huyu jamaa akijifanya ni Airtel Customer Care na kuniambia amekosea kutuma hela laki moja.Huku akaunti yangu haina hiyo hela.Naomba mnisaidie kumripoti TCRA mnaojua,kanitukana sana nlipomgundua.Namba za Tapeli ni 0683595613
Ni kweli wanatukana sana. Kuna siku nilikuwa kwenye kikao. Nikapigiwa simu ila sikuipokea. Ni katika nje kuipiga hiyo namba nikijua ni mtu wa maana. Jamaa akaanza kuniimbisha. Nikamwambia huwezi nitapeli wewe.Vipi haja kuporomoshea matusi baada ya kumgundua? Siku hizi wamerudi kwa kasi ya ajabu. Dawa akishaanza kuongea upuuzi wake, unamkatia tu simu. Ukimpa nafasi, atakubughudhi siku nzima. Na ukimshtukia tu, anakutukana.
By the way, hawa mbwa sijui wanapata wapi kiburi! Na ukiwa na biashara ya maiamala, wanakuwinda kila siku ili tu wakutapeli. Hawaogopi cha TCRA wala Polisi!
TUMA MESEJI KWENDA namba 15040 UKIIRIPOTI HIYO NAMBA YA HUYO TAPELIHii namba kapiga huyu jamaa akijifanya ni Airtel Customer Care na kuniambia amekosea kutuma hela laki moja.Huku akaunti yangu haina hiyo hela.Naomba mnisaidie kumripoti TCRA mnaojua,kanitukana sana nlipomgundua.Namba za Tapeli ni 0683595613
Hiyo 15040 nayo ni namba ya kikuda tu tunaripoti sana lakini hakuna la maana wanalofanya zaidi tunaendelea kusumbuliwa na hawa washenziTUMA MESEJI KWENDA namba 15040 UKIIRIPOTI HIYO NAMBA YA HUYO TAPELI
Kumbe mshapendana?Wamezoea sana,tumewavumilia sana,huyu nazaa nae mana atakua ananijua