Naomba msaada wa kuweza kupata ajira au internship

Mkuu naomba January 5 unitext pm, tuone tunafanyaje nikampuni mpya nakusisitiza Sana, kazi nizakutoka mikoani, kila ukitoka kwa siku unakunja 90K. Pia unaweza pewa mahala pakuishi.
90k sisi wengine tunakwama wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…