Mkuu ni PM kama hutojali.Poleni kwa majukumu ndugu zangu.Mtoto anaumwa matezi muda wote.Pamoja na kuhangaika Sana ktk kutafuta matibabu lakini bado.At the same time ana tatizo la kifua(pumu) ambayo Baba yake anayo pia.Sasa je kuna namna ya kuyamaliza haya maswahibu yanayomtesa huyu malaika?
Msaada wenu please.
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kana uko Dar,fanya maarifa uende muhimbili kitengo cha masikio na koo,pengine tonsils zimekuwa sugu zinahitaji operation,kuhusu pumu wasiliana na specialist wa watoto hapohapo muhimbili.Poleni kwa majukumu ndugu zangu.Mtoto anaumwa matezi muda wote.Pamoja na kuhangaika Sana ktk kutafuta matibabu lakini bado.At the same time ana tatizo la kifua(pumu) ambayo Baba yake anayo pia.Sasa je kuna namna ya kuyamaliza haya maswahibu yanayomtesa huyu malaika?
Msaada wenu please.
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app