Na alie mkoani akija mnampokea?Kama unatafuta ajira na upo teyari kulinda....ebu njoo gardaword....ila hakikisha wewe ni mrefu...uwe na cheti cha kuzaliwa na kitambulisho cha nida...bila kusahau TIN...Ofisi zipo mikocheni kwa mwinyi mshahala kimo cha chini ni 250k
Akikujib nitag mkuu😛Na alie mkoani akija mnampokea?
NDIO kwa train za Arusha wanaprovide huduma ya chakula na malazi kipindi chote cha mfunzo.Na alie mkoani akija mnampokea?
Kwahiyo ufupi umeninyima fursa hapaKama unatafuta ajira na upo teyari kulinda....ebu njoo gardaword....ila hakikisha wewe ni mrefu...uwe na cheti cha kuzaliwa na kitambulisho cha nida...bila kusahau TIN...Ofisi zipo mikocheni kwa mwinyi mshahala kimo cha chini ni 250k
Yap ila usikate tamaa...nenda pale sarlenda bridge wapo g4s....wao nadhani awazingatii kigezo cha urefu...ama unaweza kuwaatafuta SGA na wenyewe pia wapo vizuri kwenye malipoKwahiyo ufupi umeninyima fursa hapa
Its true..tatizo mindset...akijibadilisha akatoka huko utaona atakavyokuwa anajishangaa alikua wapi!Waombe Mods wabadilishe Title kabla wajaupeleka jukwaa la ajira.
“Tatizo mindset uliyonayo”
By Wangari Maathai 2020.
Vipi k4s?yap ila usikate tamaa...nenda pale sarlenda bridge wapo g4s....wao nadhani awazingatii kigezo cha urefu...ama unaweza kuwaatafuta SGA na wenyewe pia wapo vizuri kwenye malipo
ThanksKama unatafuta ajira na upo teyari kulinda....ebu njoo gardaword....ila hakikisha wewe ni mrefu...uwe na cheti cha kuzaliwa na kitambulisho cha nida...bila kusahau TIN...Ofisi zipo Mikocheni kwa mwinyi mshahala kimo cha chini ni 250k