Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka ulipo...nenda kwingine sasa usianze jiuliza itaishije huko...utaishi na itasurvive mrad akili yako iwe smart...! Tulia kwanza uone unawezakwenda wapi...badilisha marafiki kadri uwezavyo...Jinsi ya kijibadirisha ndio mnisaidie
Nakushauri unapoamua kuweka uzi kama huu basi jitahidi kujieleza kidogo angalau wew ni mwalimu wa masomo gani? kiwango gani cha elimu ? Tofauti na ualimu unaweza au una uzoefu na kitu gani kingine ili mtu anapotaka kukushauri au kukusaidia ajue anaanzia wapi na pia mazingira unamoishi pia ni muhimu.Habari za muda huu jamani,
Kuna mtu ananiambia tatizo la mimi mwalimu kukosa ajira serikalini, nisiilaumu serikali, bali tatizo lipo kichwani kwangu kwa kuitegemea serikali inipe ajira, na kushindwa kujiajiri.
Naomba msaada wa mawazo nijiajiri vipi kiasi ambacho nitaweza kukidhi mahitaji yangu na kusaidia wengine ikiwemo kusomesha wengine kama mimi nilivyosomeshwa?
Kwanini usiiendeleze hio hio biashara.Nimewahi uza vitenge nikapata faida 50000 ndani ya mwezi mmoja
Mikocheni ni kubwaKama unatafuta ajira na upo teyari kulinda, hebu njoo Gardaword ila hakikisha wewe ni mrefu, uwe na cheti cha kuzaliwa na kitambulisho cha NIDA bila kusahau TIN. Ofisi zipo Mikocheni kwa mwinyi mshahala kimo cha chini ni 250k
Muwe mnasoma na kuelewa kilichoandikwa jamaniMikocheni ni kubwa
Naomba maelekezo zaid, mikocheni sehemu gani , panafikikaje ?
Fanya Biashara ya kununua na kuuza nguo za ndani za, na hasa zile za bei za kawaida za kike na kiume wakubwa na watoto kutoka Dar Kariakoo.Habari za muda huu jamani,
Kuna mtu ananiambia tatizo la mimi mwalimu kukosa ajira serikalini, nisiilaumu serikali, bali tatizo lipo kichwani kwangu kwa kuitegemea serikali inipe ajira, na kushindwa kujiajiri.
Naomba msaada wa mawazo nijiajiri vipi kiasi ambacho nitaweza kukidhi mahitaji yangu na kusaidia wengine ikiwemo kusomesha wengine kama mimi nilivyosomeshwa?
Mkuu nina mazungumzo na wewe, tunaweza kuongelea inboxKama unatafuta ajira na upo teyari kulinda, hebu njoo Gardaword ila hakikisha wewe ni mrefu, uwe na cheti cha kuzaliwa na kitambulisho cha NIDA bila kusahau TIN. Ofisi zipo Mikocheni kwa mwinyi mshahala kimo cha chini ni 250k
Kwa mtaji wa sh,ngapi mkuu, maybe huenda ikanivutia,Nimewahi uza vitenge nikapata faida 50000 ndani ya mwezi mmoja
Ungeuliza hapa kwa faida ya wote ingekuwa njema...ila milango ipo wazi.Mkuu nina mazungumzo na wewe, tunaweza kuongelea inbox
[emoji3516]Toka ulipo...nenda kwingine sasa usianze jiuliza itaishije huko...utaishi na itasurvive mrad akili yako iwe smart...! Tulia kwanza uone unawezakwenda wapi...badilisha marafiki kadri uwezavyo...
Kuwa positive....yaan jineneee mema kila dakika...
Kuwa na discpline...mnyenyekevu...utaona mabadiliko...
Usiwe mvivu...fanya kazi yyt ile....
Hahahahaa....tatizo binadamu wabishi sana😜[emoji3516]
NAONA UNAMPA KAKA'ETU MWONGOZO!!!
[emoji3516][emoji3516][emoji3516]
Ukisoma hiki kitabu utapata muongozo wa kujiajiriHabari za muda huu jamani,
Kuna mtu ananiambia tatizo la mimi mwalimu kukosa ajira serikalini, nisiilaumu serikali, bali tatizo lipo kichwani kwangu kwa kuitegemea serikali inipe ajira, na kushindwa kujiajiri.
Naomba msaada wa mawazo nijiajiri vipi kiasi ambacho nitaweza kukidhi mahitaji yangu na kusaidia wengine ikiwemo kusomesha wengine kama mimi nilivyosomeshwa?