Naomba msaada wa mawazo

mtafutaji 1

Member
Joined
Aug 31, 2014
Posts
6
Reaction score
0
Nina wazo la kuanzisha shule ya sekondary, nimeshajenga darasa moja tu, kwa sasa chekechea wanasomea asubuhi, na jioni pre-form tution. Je nitapateje fund kwa ajili kujengea madarasa 7 mengine, uwanja ni heka 4 upo Mwanambaya karibu na Mkuranga. Wanajamii nifanyeje niweze kuwekeza kwa kutumia ardhi na biashara hii nilioitaja.
 
Mie binafsi post yako,sielewei unahitaji fundi au wazo?
Maana kama ni fundi,kila kona wapo,hata hapo mkuranga kibao,na hata aliekujengea hilo la mwanzo anaweza kufanya hivyo.
La pili unasema ufanyeje ili uweze kuwekeza kwa kutumia ardhi na biashara hiyo ulioitaja,hapa ndio umenichanganya kabisaa
 

Mwenzio ana maana ya fund yaani pesa or any financial aid, and not fundi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…