Naomba Msaada wa sheria tafadhari

Magere Cheops

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2022
Posts
213
Reaction score
306
Ninaomba kueleweshwa na kuelekezwa nini cha kufanya kisheria ili kupata haki yangu.

Niliwahi kukopa kwenye kitaasisi furani mwaka Jana sasa mwaka huu CRDB wamenihamasisha kwa kuwa wamepunguza riba hivyo Nataka kuwauzia Deni langu lililo kwenye hicho kitaasisi.

Sasa nawaomba cotation balance wananizungusha hawataki kunipa na bado wamenidokeza kuwa hata kama watanipa ntapaswa kuwalipa pesa yote kama ilivyo kwenye salary slip.

Hii imekaaje jamani na kipi nifanye ili wanipe balance yangu ikiwa halali kulingana na muda ninaotaka kulipa Deni lao.... Naombeni ushauri.
 
watu km wewe hammalizagi mambo mnadandia tren kwa mbele amini tu nakwambia ata huko uendako kuna siku utakimbia kabla hujakamilisha jambo

mwisho maisha yako yote yatakuwa saccos.
 
watu km wewe hammalizagi mambo mnadandia tren kwa mbele amini tu nakwambia ata huko uendako kuna siku utakimbia kabla hujakamilisha jambo

mwisho maisha yako yote yatakuwa saccos.
Nina uhuru wa kufanya hivyo kwa kuwa ninacholipa ni pesa yangu.... Nitakopa kadri inavyowezekana kwa ajili ya kufanya maendeleo in mama Samia's voice
 
Kama wanaleta ujinga waambie kuwa utawapeleka mahakamani maana it is your right kupata balance na kuhama as long as unawalipa kilicho chao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…