Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,105
- 5,629
Nimepata Shavu la ajira kitengo nyeti katika kampuni ya wazungu(wafaransa kutoka Ubelgiji) ,wamenipa kazi ila wameagiza niboreshe kifaransa changu nilicho kikimbia Makongo Sec(2002/2005) kwa Kombaa
Naomba mnisaidie the current syllabus ili nilinde kibarua changu,plz wadau
Naomba mnisaidie the current syllabus ili nilinde kibarua changu,plz wadau