Duuh we mkaliKama unakaa jirani na mitambo ya kinyerezi I na kinyerezi II hiyo hali ni ya kawaida kwa utaalamu hiyo tunaita kreptomania, ni hali ya mwili kuwa na electrons kiwango sawa na waya wa live kusababisha amagamation kati ya mwili na waya, hasa kama huo waya ni high voltage/ high tension....
Na frijiKwa hiyo MZEE umeme ukikatika unawasha bulb tu
Mkuu wala usiwaze, hizo ni nyege tu...plz nitafute.Mimi huwa napata joto flani linaanzia maeneo ya tumboni na linasafiri kwa kasi mpaka mabegani, likifika mabegani napata msisimko mpaka kutikisika mwili, nikishatikisika hilo joto huuacha mwili. Hali hii hunitokea karibu mara tatu kila siku
Naomba uhame Kinyerezi tafadhari.habari wakuu, nimekua na tatizo la kupigwa shoti mwilini hasa nishikapo materials tofauti(kasoro plastic) bt aluminium,chuma bt hata vitasa vya gari au gari yenyewe, hali hii hunitokea mara moja kwa muda husika,ila nikishika tena sipatwi na tatizo hilo, cha ajabu ikipita masaa kadhaa nikajisahau nikaegemea kitu kimoja wapo napigwa tena,sasa imekua shida,
NOTE; pindi nipatapo hali hii na nikawa napeana mkono na mwingine basi nae hupigwa shoti.
Msaada zaidi tafadhali.
mkuu huu ushauri huu mmmmh! ajaribu kwanza kwa zile tools za kipolisi wampigenazo shoti ndipo aguse umeme vinginevyo.....!Mkuu umejaribu kushika umeme uone kitatokea nini?!
Isije Kuwa umeukalia utajiri bure.