Naomba msaada wa tatizo la mwili kupigwa shoti

Naomba msaada wa tatizo la mwili kupigwa shoti

habari wakuu, nimekua na tatizo la kupigwa shoti mwilini hasa nishikapo materials tofauti(kasoro plastic) bt aluminium,chuma bt hata vitasa vya gari au gari yenyewe, hali hii hunitokea mara moja kwa muda husika, ila nikishika tena sipatwi na tatizo hilo, cha ajabu ikipita masaa kadhaa nikajisahau nikaegemea kitu kimoja wapo napigwa tena,sasa imekua shida...
mkuu nna tatizo kama la kwako lakini nilipo kwenda hospitali baaada ya vipimo vya damu nikaambiwa ni sababu ya kundi langu la damu.nina O+. Nilikua ninapigwa shoti hadi na simu,Laptop,friji, n.k. mkuu
 
Unafaa kuwa tanesco sidhan kama utakuwa unakatika katika wewe kizur pia sio mtanga wewe
 
Mimi huwa napata joto flani linaanzia maeneo ya tumboni na linasafiri kwa kasi mpaka mabegani, likifika mabegani napata msisimko mpaka kutikisika mwili, nikishatikisika hilo joto huuacha mwili. Hali hii hunitokea karibu mara tatu kila siku
Pepo hilo
 
Usikae jirani na vifaa vya elektroniki kwa muda mrefu. Hakikisha kila baada ya muda una jinyoosha viungo na kunywa maji ya kutosha.
 
Tatizo hilo ni la kawaida kwa watu wenye group 0+ la damu. Jitahidi kufanya mazoezi Mara kwa Mara maana mwisho wake husababisha tatizo la kupooza mwl
 
habari wakuu, nimekua na tatizo la kupigwa shoti mwilini hasa nishikapo materials tofauti(kasoro plastic) bt aluminium,...
Kamuone Dr hali hiyo yawezekana ukapooza siku za usoni.
 
habari wakuu, nimekua na tatizo la kupigwa shoti mwilini hasa nishikapo materials tofauti(kasoro plastic) bt aluminium...
Kwani unafanya kazi Tanesco.?
Kama ni hivyo mwili wako utakuwa na UPS ambayo hutunza umeme na kuusambaza mwili mzima...

Ila kama hufanyi kazi tanesco basi huenda unakula sana chipsi zilizokaangwa kwa kutumia mafuta ya Transifoma hivyo mwili wako unafua umeme mpaka kufikia volti 250 hiyo ni fulsa kwako ambayo ukiitumia utapiga hela sana si unajua nchi hii ilivyo na tatizo la umeme hivyo wewe unaweza kutumika kama generator!

Kama vipi ngoja nikuunganishie kampuni flani hivi watakuchukuwa ukawe generator.
 
Watafute mods wafute hii thread..
Utatafutwa ukawashe umeme wa kijiji kumbe unadynamo teh teh[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
teh teh wacha utani mkuu,me nipo serious
 
Kwani unafanya kazi Tanesco.?
Kama ni hivyo mwili wako utakuwa na UPS ambayo hutunza umeme na kuusambaza mwili mzima..!
Ila kama hufanyi kazi tanesco basi huenda unakula sana chipsi zilizokaangwa kwa kutumia mafuta ya Transifoma hivyo mwili wako unafua umeme mpaka kufikia volti 250 hiyo ni fulsa kwako ambayo ukiitumia utapiga hela sana si unajua nchi hii ilivyo na tatizo la umeme hivyo wewe unaweza kutumika kama generator.!
Kama vipi ngoja nikuunganishie kampuni flani hivi watakuchukuwa ukawe generator.
dah mkuu ushauri wako ni sawa na nguvu za Giza
 
Y
m

mkuu nna tatizo kama la kwako lakini nilipo kwenda hospitali baaada ya vipimo vya damu nikaambiwa ni sababu ya kundi langu la damu.nina O+. Nilikua ninapigwa shoti hadi na simu,Laptop,friji, n.k. mkuu
yes hii ni group yangu pia mkuu, bt inahusiana vipi na hali hii sasa
 
Usikae jirani na vifaa vya elektroniki kwa muda mrefu. Hakikisha kila baada ya muda una jinyoosha viungo na kunywa maji ya kutosha.
ahsante,maji ninakunywa yakutosha sana pengine kujinyoosha labda
 
Tatizo hilo ni la kawaida kwa watu wenye group 0+ la damu. Jitahidi kufanya mazoezi Mara kwa Mara maana mwisho wake husababisha tatizo la kupooza mwl
dah aisee sasa hii shida ndugu
 
Tatizo hilo ni la kawaida kwa watu wenye group 0+ la damu. Jitahidi kufanya mazoezi Mara kwa Mara maana mwisho wake husababisha tatizo la kupooza mwl
Fafanua hapo. Mm napigwa shoti kwenye laptop yangu nikishika kwenye pembezoni.
 
Hata mimi nina hilo tatizo, lilianzia wakati nipo singida, yaani nilikuwa nikishika pool table na vitu vingine na pigwa short, mpaka sasa tatizo bado linaendelea.
 
Back
Top Bottom