Tindikali
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 2,086
- 2,823
Umejuaje ni type C ??Nitafute mimi
Dr. Sebi speaks on what is hepatitis C
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejuaje ni type C ??Nitafute mimi
Dr. Sebi speaks on what is hepatitis C
Umejuaje ni type B ??Habari,
Tiba ya homa ya ini kwa hepatitis B
Umejuaje ni type B ??
Nimekuchek mkuu
Mkalapa naomba tuwasiliane tafadhali kaka private plsJe HP B huchukua muda gani mpaka mgonjwa kufa.mm nilipimwa zaidi ya miaka 8 au 9 nikagundulika na HP B nilituma ARV Kama miezi 3 nikaachana nazo baadae afya yangu iliimarika na nikaongeza maombi kwa Mungu sijaenda kupima tena na Wala siifikirii Kama Nina HP B mpaka Sasa napiga mishe zangu tu sijuwi nn kinaendelea huko kwenye ini maana kufuatilia naona nitajipa presha na kufa mapema
Usife unaweza kupata tiba.Je HP B huchukua muda gani mpaka mgonjwa kufa.mm nilipimwa zaidi ya miaka 8 au 9 nikagundulika na HP B nilituma ARV Kama miezi 3 nikaachana nazo baadae afya yangu iliimarika na nikaongeza maombi kwa Mungu sijaenda kupima tena na Wala siifikirii Kama Nina HP B mpaka Sasa napiga mishe zangu tu sijuwi nn kinaendelea huko kwenye ini maana kufuatilia naona nitajipa presha na kufa mapema
Pole sana Mungu ni mwema akusimamieJe HP B huchukua muda gani mpaka mgonjwa kufa.mm nilipimwa zaidi ya miaka 8 au 9 nikagundulika na HP B nilituma ARV Kama miezi 3 nikaachana nazo baadae afya yangu iliimarika na nikaongeza maombi kwa Mungu sijaenda kupima tena na Wala siifikirii Kama Nina HP B mpaka Sasa napiga mishe zangu tu sijuwi nn kinaendelea huko kwenye ini maana kufuatilia naona nitajipa presha na kufa mapema
Tapeli hanaga huruma,akitingwa anamtapeli yeyote,ilimradi atatue shida zake.Nimekuelewa Kaka,Lakini Hivi kweli kwa hali Kama Hii mtu anapata wapi hata uwezo wa Kumtapeli mtu?