Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mwambie huyo mgonjwa aliyepona asiache mazoezi hasa ya kukimbia/jogging...yaani mazoezi yawe sehemu ya maisha yake...mazoezi ni tiba ya magonjwa mengi sanaSamahani sana kwakweli nimekuwa mnafiki kama wale walioponywa na Yesu wengine hawakurudi kutoa ushuhuda. Mgonjwa alipona kwa mazoezi na kunywa maji na maziwa lakini kubwa kanisa walikuja wakawa wanamuombea hapo nyumbani na kuombea mazingira ya nyumba nzima akaombewe.
Alipooza upande mzima. Ila sasa tunavyoongea ni mzima kabisa yaani hadi nashangaa. kweli maombi ni tiba kabisa. yaani nilipanic maana sikuwa na mtu wa kujitolea kumuangalia. mwanae yupo darasa la kwanza hakukuwa tena na mtu wa kumsaidia hasa kuoga na kwenda chooni.
Namshukuru Mungu kwa kuepusha hili jaribu
wow! Hongera yake! Mungu amekuwa upande wake... wengi wanopooza upande mmoja huwa wanapona kwa mazoezi. Issue ni Spinal cord ikisababisha kupooza kwa mtu huwa ni mara chache sana kurecover.Samahani sana kwakweli nimekuwa mnafiki kama wale walioponywa na Yesu wengine hawakurudi kutoa ushuhuda. Mgonjwa alipona kwa mazoezi na kunywa maji na maziwa lakini kubwa kanisa walikuja wakawa wanamuombea hapo nyumbani na kuombea mazingira ya nyumba nzima akaombewe.
Alipooza upande mzima. Ila sasa tunavyoongea ni mzima kabisa yaani hadi nashangaa. kweli maombi ni tiba kabisa. yaani nilipanic maana sikuwa na mtu wa kujitolea kumuangalia. mwanae yupo darasa la kwanza hakukuwa tena na mtu wa kumsaidia hasa kuoga na kwenda chooni.
Namshukuru Mungu kwa kuepusha hili jaribu