Naomba msaada wa ufafanuzi wa neno "KAA VIZURI" kwa jinsi ya kike

Bosco Robert

Member
Joined
Jan 12, 2016
Posts
65
Reaction score
53
Hivii, hili neno "KAA VIZURI" kwa mwanamke lina maana gani? Wakati wa mchana Mwanamke akiwa nje ukimwambia "KAA VIZURI" anabana miguu, Lakini wakati wa usiku akiwa kitandani ukimwambia "KAA VIZURI" anapanua miguu, Hebu nisaidie mtaalamu wa mambo haya? KAA VIZURI ni Kubana miguu au Kupanua miguu?..
 
kaa vizuri ni kubana na kuachia miguu...
 
Maswali mengine bwana. Yaani inakuhitaji kuwaza sana mleta mada kama haelewi terminology rahisi hivi ukileta ngumu ataelewa kweli?
 
mbona mchan ukwambia kaa vzr hapanui icpokuwa kubana mkuu
 
Duh....."JF urodaa"!😀😀😀
 
Bosco Robert mwitikio huwa ni hivyo hivyo ukimwambia dada yako kwa mcha na usiku?? (usirushe ngumi, naye ni jinsia ya "ke")
 
na lingine hilli hapa Nataka TUONANE @ hapa utaambiwa naumwa au na ble*** lakini wala haukuwa na lengo la kugegeda shida yako ni muonane mpange jambo lingine kabisa
neno tuonane kwa wanawake hebu lifafanueni
ila sisi wanaume tukiahidiana tuonane wala haina maana nyingine zaidi ya kuonana
 
bado maana wananichanganya kinyama mcha na usiku stlye tofauti
 
Hii mada na yanayojadiliwa hapa ni udhalilishaji wa kina mama zetu. Sifahamu watu mna matatizo gani, nchi ina mambo mengi sana ya kimsingi ya kujadili lakini watu mnapoteza muda kwenye mambo yasiyo ya kimsingi tena kuwadhalilisha hawa waliotuzaa, hivi kweli unapoleta mada kama hii huwa unafikiria kweli kuwa una mama, dada, shangazi, fikiria kuwa unmwambia kati ya hao kabla ujaleta mada yako ya hovyo kabisa. Hata kama ni kuburudisha watu kuna mambo ya jokes na yakuchekesha mengi tu, kwanini wanaume tunaendelea kuwadhalilisha kina mama kwa tungu na majina ya dhihaki, hadi lini? hakuna mambo ya kuwasifia hawa kina mama kwenye jamii hii yetu.
 
mkuu, KAA VIZURI inamaanisha PANUA MIGUU dudu iingie....wewe unashindwa kuelewa semi rahisi kama hii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…