mkuu itakuwa hukusoma uzi wake wa mwanzo. PoleeHahaha!! Dawa ya mkopo ni kulipa. Mwambie alipe deni sw.
KAZI ni kipimo cha UTU
Hapo haujaelewa nini mkuu mkopo umeshalipwa miaka 5 iliyopita niliweka kwenye post iloyopita sasa baada ya wadau wengi kushauri ndio maana tunaomba msaada ya kisheriaHahaha!! Dawa ya mkopo ni kulipa. Mwambie alipe deni sw.
KAZI ni kipimo cha UTU
Uzi wako wa mwanzo wa tatizo ungeuambatanisha hapo chini.Ndugu zangu naomba tumsaidie huyu mama anayezungushwa na NMB kupewa hati yake aliyoitumia kama dhamana ya mkopo miaka 5 iliyopita.
Naomba msaada wa kisheria kama kuna wakili humu ambaye yuko Sengerema, Mwanza anaweza kusimamia hili suala.
Suremkuu itakuwa hukusoma uzi wake wa mwanzo. Polee
SukraniUzi wako wa mwanzo wa tatizo ungeuambatanisha hapo chini.
Sababu wanazotoa NmB ya kushindwa kuirudisha hati ni nini?? Wameipoteza? Na kuna mtu mwingine tofauti na yeye ambaye anaitumia kama dhamana kinyume cha Taratibu??Ndugu zangu naomba tumsaidie huyu mama anayezungushwa na NMB kupewa hati yake aliyoitumia kama dhamana ya mkopo miaka 5 iliyopita.
Naomba msaada wa kisheria kama kuna wakili humu ambaye yuko Sengerema, Mwanza anaweza kusimamia hili suala.
NB: MKOPO UMESHALIPWA MIAKA 5 ILIYOPITA
Wanamwambia "nenda nyumbani tutakupigia simu" na taratibu zote za kuandika barua kwa ajili ya kuomba hati ameandikaSababu wanazotoa NmB ya kushindwa kuirudisha hati ni nini?? Wameipoteza? Na kuna mtu mwingine tofauti na yeye ambaye anaitumia kama dhamana kinyume cha Taratibu??
Ni kitu cha ajabu. Kuna wanasheria kama ulivyo ambiwa, ambao huwa saidia akina mama KamaWanamwambia "nenda nyumbani tutakupigia simu" na taratibu zote za kuandika barua kwa ajili ya kuomba hati ameandika
AsanteNi kitu cha ajabu. Kuna wanasheria kama ulivyo ambiwa, ambao huwa saidia akina mama Kama
LHRC , Wlac , TAWLA , wildad
Aende dawati la jinsiaHapo haujaelewa nini mkuu mkopo umeshalipwa miaka 5 iliyopita niliweka kwenye post iloyopita sasa baada ya wadau wengi kushauri ndio maana tunaomba msaada ya kisheria
Anza na TAKUKURU kwanzaNdugu zangu naomba tumsaidie huyu mama anayezungushwa na NMB kupewa hati yake aliyoitumia kama dhamana ya mkopo miaka 5 iliyopita.
Naomba msaada wa kisheria kama kuna wakili humu ambaye yuko Sengerema, Mwanza anaweza kusimamia hili suala.
NB: MKOPO UMESHALIPWA MIAKA 5 ILIYOPITA
Kidogo hawa kwa mbali wengine wote ni mashina ya CCMNi kitu cha ajabu. Kuna wanasheria kama ulivyo ambiwa, ambao huwa saidia akina mama Kama
LHRC , Wlac , TAWLA , wildad
NMB ni benki ya kitapeli haswaAtakuwa ashapewa dalali atafute mteja,
Cheki na Wakili Bernard Otieno yupo Geita hapo atakusaidia chapuNdugu zangu naomba tumsaidie huyu mama anayezungushwa na NMB kupewa hati yake aliyoitumia kama dhamana ya mkopo miaka 5 iliyopita.
Naomba msaada wa kisheria kama kuna wakili humu ambaye yuko Sengerema, Mwanza anaweza kusimamia hili suala.
NB: MKOPO UMESHALIPWA MIAKA 5 ILIYOPITA
AsanteCheki na Wakili Bernard Otieno yupo Geita hapo atakusaidia chapu
mpigie Huyu Advocate 0715450012 wa Mwanza anayafahamu haya mambo ya commercial laws.Hapo haujaelewa nini mkuu mkopo umeshalipwa miaka 5 iliyopita niliweka kwenye post iloyopita sasa baada ya wadau wengi kushauri ndio maana tunaomba msaada ya kisheria