Naomba msaada wako mdau

Naomba msaada wako mdau

Kristonsia Nkya

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2013
Posts
302
Reaction score
292
Je kupungua kwa homoni ya
Gonadotropin kunaweza kusababisha
mwanamke asipate mimba? ! Rafiki yangu
amekaa na mke wake zaidi ya miezi 5 bila
kupata mtoto baada ya kwenda kupima
wote wawili dkt akasema kwamba
mwanamke anaupungufu wa hiyo
homoni!! Je hili tatizo linaweza kutibika?
Msaada kwa kiswahili plz wadau
 
Kwa nini unamsingizia rafiki yako??? Kwani ukisema ni wewe unamuonea nani aibu!!?? We ni mwanaume funguka na usimwangalie mtu usoni!!!! Ngoja wataalam wako njiani!!!!
 
Back
Top Bottom