kama dawa ya hospitali ilikusaidia kiasi, safi. ni indication kwamba dawa ilipunguza tatizo na tatizo ni kubwa kidogo, so; rudi hospitali ileile umweleze dokta maendeleo na jinsi gani dawa ya mwanzo haikusaidia. nadhani atakupa nyingine au kukupa double dozi.
binafsi, pia nakushauri usile vyakula vya mafuta mfano, mayai ya kukaanga, chips, maziwa fresh sana, etc. wewe kula vitu vya kuchemsha, chemsha viazi, nyama(supu), pia viazi choma safi. katika kila kinywaji weka limao kidogo mfano maji, juice etc.