selwyn New Member Joined Mar 21, 2014 Posts 3 Reaction score 0 Apr 13, 2014 #1 Ninamtaji wa mil.5 nataka fungua biadhara ya kuuza nywele za kina dada naomba ushauri wenu nataka nifungulie dodoma
Ninamtaji wa mil.5 nataka fungua biadhara ya kuuza nywele za kina dada naomba ushauri wenu nataka nifungulie dodoma
Majigo JF-Expert Member Joined Feb 23, 2012 Posts 5,519 Reaction score 1,828 Apr 13, 2014 #2 mkuu nakupongeza kwa hatua uliyofikia ila kwa nini husifungue cosmetics, yaani duka la bidhaa za vipodozi kwa ujumla!
mkuu nakupongeza kwa hatua uliyofikia ila kwa nini husifungue cosmetics, yaani duka la bidhaa za vipodozi kwa ujumla!