Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahhaajoseverest umekuwa mzembe na hii siti namba 1?? ngoja wataalam waje mkuu pole sana
Inaonekana wewe una nyota ya DOGTatizo la kufanya kuvimba upande mmoja wa sehemu ya chini ya kichwa cha uume baada kumaliza tendo yani kukojoa kwa muda wa madakika kadhaa alafu ndio hali hurudi linaweza kutokana nanini?
Limekua likinitokezea mara kwa mara
sijakuelewa chief,Tatizo la kufanya kuvimba upande mmoja wa sehemu ya chini ya kichwa cha uume baada kumaliza tendo yani kukojoa kwa muda wa madakika kadhaa alafu ndio hali hurudi linaweza kutokana nanini?
Limekua likinitokezea mara kwa mara
sijakuelewa chief,
hebu weka vizuri swali lako
uvimbe unakua na muonekano gani...kma kipele cha muwasho au jipu?Pindi tu ninapomaliza kukojoa wakati wa tendo, uume hafaya kuvimba maeneo ya chini ya kichwa upande mmoja, namvimbe huo hudumu ata kwa mda wa nusu saa hal hurudi katika hali.
Tatizo limekua likitokea mara kwamara
Miller maelezo tu,hayatoshelezi awe anapiga Picha pindi inapotokea [emoji6][emoji3].uvimbe unakua na muonekano gani...kma kipele cha muwasho au jipu?
kuna maumivu huwa unayahisi pindi inapotokea hiyo hali?
uvimbe unakua na muonekano gani...kma kipele cha muwasho au jipu?
kuna maumivu huwa unayahisi pindi inapotokea hiyo hali?
Miller maelezo tu,hayatoshelezi awe anapiga Picha pindi inapotokea [emoji6][emoji3].
Hiyo hali imeanza tokea uanze Ngono? Au ni hivi karibuni?
Na je umeanza kutumia kitu kipya apacho hukuwahi kukitumia huko nyuma?
yes, kama angeweza kupiga picha vizuri uonekane huo uvimbe tu ingekuwa vizuri ili asiharibu sheria za forum!Miller maelezo tu,hayatoshelezi awe anapiga Picha pindi inapotokea [emoji6][emoji3].
Hiyo hali imeanza tokea uanze Ngono? Au ni hivi karibuni?
Na je umeanza kutumia kitu kipya apacho hukuwahi kukitumia huko nyuma?
pole, ila vizuri uende ocean road ukafanye vipimo harakauvimbe unakua kama jipu, na hapawi na maumivu.
Kwa maelezo yako siwezi kukupa jibu kamili lenye kujitosheleza, inawezekana Kuna tatizo kwenye mishipa ya damu, na kwamba damu inajikusanya hapo wakati wa tendo na huchukua muda kurudi Kama sehemu nyingine baada ya tendo sababu mshipa umeziba....Nimejigundua kama mwaka wa pili sasa, Lakini mwanzo ilikua inatokea mara chache inaweza pita miezi ndio ikaja, ila kila siku zinavokwenda inazidi kujitokeza mara kwa mara.
Hivi PM hawaruhusu picha eehh?yes, kama angeweza kupiga picha vizuri uonekane huo uvimbe tu ingekuwa vizuri ili asiharibu sheria za forum!
PM sawaHivi PM hawaruhusu picha eehh?
[emoji122][emoji122][emoji122]Kwa maelezo yako siwezi kukupa jibu kamili lenye kujitosheleza, inawezekana Kuna tatizo kwenye mishipa ya damu, na kwamba damu inajikusanya hapo wakati wa tendo na huchukua muda kurudi Kama sehemu nyingine baada ya tendo sababu mshipa umeziba....
Au una tumia sana nguvu kwenye tendo...
Au ulikuwa mtu wa Punyeto sana, ukaadhiri hiyo mishipa inayopeleka damu.
Ningekushauri uende ukaonane na Mtaalam ikiwezekana jipige picha Kama ushahidi,maana itakuwa ngumu kuonyesha Mubashara.
Pole sana na Kila la kheri