Mkuu naomba msaada kufahamishwa, Mpenzi wangu nikifanyanae mapenzi anaumia sana kwa ndani karibu na kitovu! Pamoja na kumuandaa kwa kumnyonya na kuhakikisha za mwanzo zimetoka lakini bado anaumia! Kwa mwenye utaalamu wa hilo naomba msaada jamani nifanyeje?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.