marunguBoy
New Member
- Jun 8, 2015
- 4
- 0
Nawasalimu wote jamanii.
Jamani me ninatatizo kila ninapofanya mapenzi huwa namwaga faster sana yani ndani ya dakika ishirini nakuwa nishaenda ata tatu kabisa, yani najiona nipo tofauti sana wandugu naombeni ushauri kama kuna anayejua kwaini inakuwa hivi.
Japo naweza kwende hata 6 lakini unakuta ni ndani ya nusu saa nimeenda zote aisee.
Kweli naona hata noma kuvaa kondom coz itakuwa usumbufu. Plz jamani this is serious naombe ushauri kama ni chakula flani au ni nini.
Ahsante
Jamani me ninatatizo kila ninapofanya mapenzi huwa namwaga faster sana yani ndani ya dakika ishirini nakuwa nishaenda ata tatu kabisa, yani najiona nipo tofauti sana wandugu naombeni ushauri kama kuna anayejua kwaini inakuwa hivi.
Japo naweza kwende hata 6 lakini unakuta ni ndani ya nusu saa nimeenda zote aisee.
Kweli naona hata noma kuvaa kondom coz itakuwa usumbufu. Plz jamani this is serious naombe ushauri kama ni chakula flani au ni nini.
Ahsante