chankele kigoma
Senior Member
- Jan 12, 2017
- 199
- 121
Mke wangu amepimwa amkutwa na uvimbe kwenye Ovary ya kulia dokta anasema inabidi afanyiwe surgery
Kwa wale wenye utaalam na hili swala naomba msada wenu hivi hakuna dawa anazoweza kutumia uvimbe huo uka yeyuka? Pasipo kufanyiwa upasuaji
Kwa wale wenye utaalam na hili swala naomba msada wenu hivi hakuna dawa anazoweza kutumia uvimbe huo uka yeyuka? Pasipo kufanyiwa upasuaji