[emoji3] ndio kosa lenyeweKosa leni ni kuishi kwa mpalange
Ilemela TanzaniaKwa Mpalange ni mkoa upi?
ilemela tanzania
Wallah [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ilemela tanzania
Ruvuma mkuuKwa Mpalange ni mkoa upi?
DA kumbe ndiyo maana imetokea hapo? njia ya kuelekea kwa mpalange ina topeee???Ishu sio kwa mpalange tatizo lipo kwenye Ile njia unayoelekea kwa mpalange....mbunge akipita tutamuomba atuwekee lami maana tope la pale mvua ikinyesha inaakisi kabisa na kipenyo Cha mstatili