Idrissou02
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 354
- 656
Habarini za leo,
Nataka nipande miti ya mvule kwenye shamba langu ili watoto waje kufaidi matunda uko mbeleni. Nipo mkoa wa Mara uku, kwenye wilaya ambayo mvua sio za uhakika na ardhi ina joto kiasi je, mvule utakua vizuri kwenye eneo hili?
Pia naomba kufahamishwa mvule unachukua miaka mingapi kuweza kuanza kuvunwa?
Nataka nipande miti ya mvule kwenye shamba langu ili watoto waje kufaidi matunda uko mbeleni. Nipo mkoa wa Mara uku, kwenye wilaya ambayo mvua sio za uhakika na ardhi ina joto kiasi je, mvule utakua vizuri kwenye eneo hili?
Pia naomba kufahamishwa mvule unachukua miaka mingapi kuweza kuanza kuvunwa?