Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Wakuu Kwema!
Nafahamu viongozi wengi wa serikali wanapita humu JF.
Naomba kujua Kama mwaka huu kutakuwa na sikukuu za Nane nane.
Ili wakulima tujue tunafanyaje.
Natanguliza shukran
Nafahamu viongozi wengi wa serikali wanapita humu JF.
Naomba kujua Kama mwaka huu kutakuwa na sikukuu za Nane nane.
Ili wakulima tujue tunafanyaje.
Natanguliza shukran