Naomba muongozo nataka kwenda china kuchukua mzigo wa Jeans, bajeti yangu nina million 5 tu. Ntafaanikiwa? kwa wenye uzoefu naomba msaada wenu Tafadhali.
Pia kuna group la whatsap unalipia 5000, Dada atakuunga baada ya hapo unaagiza mzigo unaotaka kukufikia kwa meli kwa mda wa mwezi mmoja hivi, yeye mda mwingi yupo huko
Habari wana jukwaa, Kumekuwa na ongezeko kubwa la wafanyabishara kutoka Tanzania kwenda China kufanya biashara mbalimbali kama nguo, vipuri vya magari na pikipiki, vifaa vya electronics nk. Najua kuna thread nyingi zimewahi kuzungumzia biashara za China, lakini nimuombe mkuu Invisible...