Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Usiwaze sana mwenzako alikuwa anatega mimba sio kukuambukiza umeme. Si unajua hela ya matumizi ni mtaji siku hizi.
Ila jichunge Bro.
Ila jichunge Bro.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anza tu kutumia TDF+3TC+DTG pia hakikisha upo kwenye CTC 2 databaseKuna demu mmoja huwa namtumia kwa ajili ya kujiridhisha coz nina mke yuko mbali na mkoa ninaoishi sasa leo genye zimenishika haswa nikaona nimtafute akaniambia njoo lkn simuamin bc kufika tu tukapiga story tukaanza yale mambo yetu mm huwa natumia sana kinga bc akanivalisha ile nazamisha rungu nikahisi ndomu imepasuka ikabid nitoe fasta nikavaa ingine nikaendelea na show dah niliendelea kwasababu nina ugumu nilivyomwaga sikuwa tena na hamu vp hapo ndugu zangu nahitaji kumeza PrEP au nikaushe lkn sikuona hata blood au naweza ambukizwa kwa majimaji nina stress hatari.
[emoji120]yaan kuanzia sasa nimejifunza sirudii upuuzi mtu unakosa furahaUsiwaze sana mwenzako alikuwa anatega mimba sio kukuambukiza umeme. Si unajua hela ya matumizi ni mtaji siku hizi.
Ila jichunge Bro.
Vp kuhusu hz dawa wanasema zinaharibu figo na liverAnza tu kutumia TDF+3TC+DTG pia hakikisha upo kwenye CTC 2 database
Prolong use of drugsVp kuhusu hz dawa wanasema zinaharibu figo na liver
kua na aman bn ukimwi si rahisi Ivo bobKuna demu mmoja huwa namtumia kwa ajili ya kujiridhisha coz nina mke yuko mbali na mkoa ninaoishi sasa leo genye zimenishika haswa nikaona nimtafute akaniambia njoo lkn simuamin bc kufika tu tukapiga story tukaanza yale mambo yetu mm huwa natumia sana kinga bc akanivalisha ile nazamisha rungu nikahisi ndomu imepasuka ikabid nitoe fasta nikavaa ingine nikaendelea na show dah niliendelea kwasababu nina ugumu nilivyomwaga sikuwa tena na hamu vp hapo ndugu zangu nahitaji kumeza PrEP au nikaushe lkn sikuona hata blood au naweza ambukizwa kwa majimaji nina stress hatari.
kina Alex hawajamfikia aiseeAcha wasiwas mkuu Hakuna kitu Kama hicho fanya hima umtoe mkeo mkoani Kuna mabodabodawengi San na Ni npostive wengi pia Ni hatari kwako mtoe tu vingine unaweza kukosa mtaani mke akakuletea
ART NURSE NDIO UMEFUNDISHWA IVAnza tu kutumia TDF+3TC+DTG pia hakikisha upo kwenye CTC 2 database
😂😂 JamaniRIP bro
NdiyoART NURSE NDIO UMEFUNDISHWA IV
Pole sana.Maarifa gn ndugu wakati kinga nilitumia bahati mbaya tu halafu huwez amini mm huwa ni mshauri sana kwa vijana wenzangu ambao wanacheza rafu huwa nawaambia tumieni kinga bc tu leo imenitokea nikitoka kwenye hili janga sirudii tena mm jaman