Naomba muongozo tafadhali

Usiwaze sana mwenzako alikuwa anatega mimba sio kukuambukiza umeme. Si unajua hela ya matumizi ni mtaji siku hizi.

Ila jichunge Bro.
 
Anza tu kutumia TDF+3TC+DTG pia hakikisha upo kwenye CTC 2 database
 
Usiwaze sana mwenzako alikuwa anatega mimba sio kukuambukiza umeme. Si unajua hela ya matumizi ni mtaji siku hizi.

Ila jichunge Bro.
[emoji120]yaan kuanzia sasa nimejifunza sirudii upuuzi mtu unakosa furaha
 
Ondoa wasi wasi,muulize huyo mwenzako kama ana tatizo
 
Sasa hapo unachohaofia ni nini, watu wa dizain hii ndio wanaokufaga na huo ugonjwa unafikil ngoma Kama kikohozi
 
kua na aman bn ukimwi si rahisi Ivo bob
 
Acha wasiwas mkuu Hakuna kitu Kama hicho fanya hima umtoe mkeo mkoani Kuna mabodabodawengi San na Ni npostive wengi pia Ni hatari kwako mtoe tu vingine unaweza kukosa mtaani mke akakuletea
kina Alex hawajamfikia aisee
 
Maarifa gn ndugu wakati kinga nilitumia bahati mbaya tu halafu huwez amini mm huwa ni mshauri sana kwa vijana wenzangu ambao wanacheza rafu huwa nawaambia tumieni kinga bc tu leo imenitokea nikitoka kwenye hili janga sirudii tena mm jaman
Pole sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…