Naomba muongozo wa kuanzisha mradi wa kuku wa mayai

Naomba muongozo wa kuanzisha mradi wa kuku wa mayai

Inanibidi nicheke tu mkuu 'mabestejr'!

Hii ni siku ya ngapi tokea tuanze habari hii!
kalam ulivyoniambia apo juu nimekuelew kwa mfano mm ukiniuliza kuku labd idad ya 200 wanakula mifko mingp had kuuza nakutajia fuln 6au 7 ilaa nilikuw natengema kupata jib layers starter wanakul mifk mingp ya kilo 50 na grower mifk mingp ndio nimepost kama kuna mtu alishawh kufuga kuku idadi iyoo anaimbie wanakul mifko mingp had wakue
 
kalam ulivyoniambia apo juu nimekuelew kwa mfano mm ukiniuliza kuku labd idad ya 200 wanakula mifko mingp had kuuza nakutajia fuln 6au 7 ilaa nilikuw natengema kupata jib layers starter wanakul mifk mingp ya kilo 50 na grower mifk mingp ndio nimepost kama kuna mtu alishawh kufuga kuku idadi iyoo anaimbie wanakul mifko mingp had wakue
Tega sikio nitakujibu mapema iwezekanavyo, kwa sababu huwa sipendi ubabaishaji na mizunguko isiyokuwa na maana.
Hapa tunazungushana tu kwa kazi ndogo kabisa.

AU ngoja nimalizane nawe kabisa, ubaki tu unalilalia mwenyewe:

Hy-Line, kuku 500:

1. LAYER STARTER, kwa wiki 6 za Mwanzo: Mifuko 9

2. GROWER, toka wiki ya 7 hadi wiki ya 12. MIFUKO 23

3. GROWER, wiki ya 13 hadi wiki ya 18. MIFUKO 27
JUMLA YA MIFUKO YOTE ( Layer Starter na Grower) , kabla hawajaanza kutaga ni mingapi? Hebu nieleze wewe.

Lakini hapa ni muhimu utambue kwamba hutafika wiki ya 18 ukiwa na hao hao kuku 500 ulioanza nao; hasa kwa mtu kama wewe najua hali itakuwa ni pungufu sana!

Acha ubabaishaji mkuu wangu (hivi unaitwa nani vile?)
 
Tega sikio nitakujibu mapema iwezekanavyo, kwa sababu huwa sipendi ubabaishaji na mizunguko isiyokuwa na maana.
Hapa tunazungushana tu kwa kazi ndogo kabisa.

AU ngoja nimalizane nawe kabisa, ubaki tu unalilalia mwenyewe:

Hy-Line, kuku 500:

1. LAYER STARTER, kwa wiki 6 za Mwanzo: Mifuko 9

2. GROWER, toka wiki ya 7 hadi wiki ya 12. MIFUKO 23

3. GROWER, wiki ya 13 hadi wiki ya 18. MIFUKO 27
JUMLA YA MIFUKO YOTE ( Layer Starter na Grower) , kabla hawajaanza kutaga ni mingapi? Hebu nieleze wewe.

Lakini hapa ni muhimu utambue kwamba hutafika wiki ya 18 ukiwa na hao hao kuku 500 ulioanza nao; hasa kwa mtu kama wewe najua hali itakuwa ni pungufu sana!

Acha ubabaishaji mkuu wangu (hivi unaitwa nani vile?)
Asante kwa mchanganuo huu Mkuu.

Kama hutojali naomba kufahamu bei kwa mfuko mmoja!

Kingine Mkuu. Nimefatilia mjadala wenu (wewe na mdau mwanzisha thread hapo juu). Kwa ufupi sana, naweza sema nchini kwetu, kwa hali ilivyo sasa endapo hawataboresha mfumo wa utoaji elimu, inabidi elimu ya chuo kikuu angalau degree ya kwanza ndio iwe elimu ya msingi. Naomba kuishia hapa kwa sasa.
 
Asante kwa mchanganuo huu Mkuu.

Kama hutojali naomba kufahamu bei kwa mfuko mmoja!

Kingine Mkuu. Nimefatilia mjadala wenu (wewe na mdau mwanzisha thread hapo juu). Kwa ufupi sana, naweza sema nchini kwetu, kwa hali ilivyo sasa endapo hawataboresha mfumo wa utoaji elimu, inabidi elimu ya chuo kikuu angalau degree ya kwanza ndio iwe elimu ya msingi. Naomba kuishia hapa kwa sasa.
EEEeenHeeee!

Mkuu 'Heart Wood', sitaweza kukataa hayo uliyosema kuhusu elimu yetu, ingawa najua umetuunganisha sote humo. Hii ni aibu yetu sote, lakini lawama inajulikana inapostahil kuelekezwa. Siyo kwa sisi wahanga, bali hao wanaotulazimisha tuwe katika hali hiyo.

Wewe umeamua kusemea ubovu wa elimu yetu. Ninakubaliana nawe moja kwa moja; lakini nikuulize kama unaweza kunitajia ni eneo gani sasa unaloona hasa kuwa tuna nafuu juu yake kama taifa kwa ujumla. Nitajie tu eneo moja tunaloweza kujivunia kwamba sisi tunayo nafuu zaidi kuliko wenzetu katika mataifa yanayotuzunguka.

Baada ya kuyasema hayo ngoja nirudi kwenye habari yetu ya kuku..

Bei ya mfuko wa chakula cha kuku inategemea eneo ulipo wewe (umbali wa kinapopatikana chakula hicho toka kiwandani; na pia aina ya chakula chenyewe..

Kwa mfano, huwezi kutegemea kununua mfuko wa "Layer Starter" inayozalishwa Iringa kwa bei ile ile inayouzwa eneo lile, kama wewe unaishi na kufugia, kwa mfano Moshi au Mwanza.

Pili, bei ya mfuko wa "Layer Starter" ambao una protini nyingi ipo juu zaidi ya mfuko wa "Grower" na mfuko wa "Layer Complete" vile vile unayo bei tofauti.

Kwa hiyo mkuu wangu 'Heart Wood', nami ninakuomba ujitutumue kidgo kutafuta ni wapi utakuwa unanunua hicho chakula chako cha kuku na bei yake ni kiasi gani.
Moja ya jambo linalotuelemea sana siku hizi waTanzania ni hii tabia ya kutaka kuwa tegemezi sana, kutafutiwa ufumbuzi wa kila kitatizo kidogo bila kujihangaisha kidogo kujitafutia ufumbuzi huo.

Natumaini utakuwa umenielewa vizuri.

Nimetiririka tu hapa kwenye andiko hili, naomba kama kuna makosa ya kiuandishi uniwie radhi.
 
EEEeenHeeee!

Mkuu 'Heart Wood', sitaweza kukataa hayo uliyosema kuhusu elimu yetu, ingawa najua umetuunganisha sote humo. Hii ni aibu yetu sote, lakini lawama inajulikana inapostahil kuelekezwa. Siyo kwa sisi wahanga, bali hao wanaotulazimisha tuwe katika hali hiyo.

Wewe umeamua kusemea ubovu wa elimu yetu. Ninakubaliana nawe moja kwa moja; lakini nikuulize kama unaweza kunitajia ni eneo gani sasa unaloona hasa kuwa tuna nafuu juu yake kama taifa kwa ujumla. Nitajie tu eneo moja tunaloweza kujivunia kwamba sisi tunayo nafuu zaidi kuliko wenzetu katika mataifa yanayotuzunguka.

Baada ya kuyasema hayo ngoja nirudi kwenye habari yetu ya kuku..

Bei ya mfuko wa chakula cha kuku inategemea eneo ulipo wewe (umbali wa kinapopatikana chakula hicho toka kiwandani; na pia aina ya chakula chenyewe..

Kwa mfano, huwezi kutegemea kununua mfuko wa "Layer Starter" inayozalishwa Iringa kwa bei ile ile inayouzwa eneo lile, kama wewe unaishi na kufugia, kwa mfano Moshi au Mwanza.

Pili, bei ya mfuko wa "Layer Starter" ambao una protini nyingi ipo juu zaidi ya mfuko wa "Grower" na mfuko wa "Layer Complete" vile vile unayo bei tofauti.

Kwa hiyo mkuu wangu 'Heart Wood', nami ninakuomba ujitutumue kidgo kutafuta ni wapi utakuwa unanunua hicho chakula chako cha kuku na bei yake ni kiasi gani.
Moja ya jambo linalotuelemea sana siku hizi waTanzania ni hii tabia ya kutaka kuwa tegemezi sana, kutafutiwa ufumbuzi wa kila kitatizo kidogo bila kujihangaisha kidogo kujitafutia ufumbuzi huo.

Natumaini utakuwa umenielewa vizuri.

Nimetiririka tu hapa kwenye andiko hili, naomba kama kuna makosa ya kiuandishi uniwie radhi.
Nakushukuru sana Mkuu "Kalamu" kwa majibu mazuri. Nitafuatilia kama ulivyonishauri. Japo kwangu mie kwa muda sasa, JF ndio imekuwa source kubwa ya taarifa nazokuwa nahitaji. Ila si mbaya, nitafanyia kazi hiyo kazi ya "offline data searching".

Kuhusu mjadala wa masuala ya nchi yetu, huko naomba nisiingie kwa sasa. Huwa nakuona pia kule Jukwaa la siasa unavyoshusha madini. Itoshe kusema tuishie hapo kwa sasa. Ha ha ha! Naomba nikwepe mjadala huo!
 
Tega sikio nitakujibu mapema iwezekanavyo, kwa sababu huwa sipendi ubabaishaji na mizunguko isiyokuwa na maana.
Hapa tunazungushana tu kwa kazi ndogo kabisa.

AU ngoja nimalizane nawe kabisa, ubaki tu unalilalia mwenyewe:

Hy-Line, kuku 500:

1. LAYER STARTER, kwa wiki 6 za Mwanzo: Mifuko 9

2. GROWER, toka wiki ya 7 hadi wiki ya 12. MIFUKO 23

3. GROWER, wiki ya 13 hadi wiki ya 18. MIFUKO 27
JUMLA YA MIFUKO YOTE ( Layer Starter na Grower) , kabla hawajaanza kutaga ni mingapi? Hebu nieleze wewe.

Lakini hapa ni muhimu utambue kwamba hutafika wiki ya 18 ukiwa na hao hao kuku 500 ulioanza nao; hasa kwa mtu kama wewe najua hali itakuwa ni pungufu sana!

Acha ubabaishaji mkuu wangu (hivi unaitwa nani vile?)
niite frank au mabeste bro unaonekan unaeperience san huu ufugajii ushawah kufany hiii biashar
 
niite frank au mabeste bro unaonekan unaeperience san huu ufugajii ushawah kufany hiii biashar
Wewe umesema ulishafuga kuku wa nyama, kwa hiyo unayo 'experience' kubwa kama unavyosema mwenyewe katika maswala ya ufugaji.

Sasa naomba usiniangushe, nategemea kusikia 'Mabeste' na ufugaji wa kuku wa mayai elfu kumi ndani ya miaka mitano(!).
Usifanye mzaha mkuu! Jukwaa hili siyo la kuleta utani.

Ngoja nikuulize tena swali jingine: Hivi unajua hao kuku 10,000 unaotamani kuwafuga wanataga mayai mangapi kwa siku wanapokuwa tayari wanataga kwa kiwango chao cha juu kabisa?
Hivi unajua ni Tsh, ngapi zinazopatikana kila siku unapouza mayai hayo?

Najua kwa utani wako utakuja hapa uniambie nikufahamishe taarifa hizo!

Mabeste Bhwanah! Unachosha sana mkuu wangu na hizi habari zako za utani utani.

Hii siyo kazi ya utani, hii ni kazi madhubuti sana!
 
niite frank au mabeste bro unaonekan unaeperience san huu ufugajii ushawah kufany hiii biashar
Mkuu, usimuite 'Kalamu' bro, huyu anaweza kuwa sawa na umri wa Mzee wako. Amekuwepo hapa JF tangu ianzishwe miaka ya 2006, kwahiyo inaonesha ni mtu mwenye umri mkubwa. Kwakuwa JF hatufahamiani vizuri, huwa tunaitana kwa jina la ' Mkuu'. Hili jina huwa lina-generalise na humpa mtu hadhi yake inayostahili. Ha ha haa, ni ushauri tu, japo si muhimu sana kiviile. Tuendelee na mada yetu ya ufugaji kuku. Na mie nasubiri majibu yako kutokana na swali alilokuuliza Mkuu ' Kalamu' hapo juu.
 
Wewe umesema ulishafuga kuku wa nyama, kwa hiyo unayo 'experience' kubwa kama unavyosema mwenyewe katika maswala ya ufugaji.

Sasa naomba usiniangushe, nategemea kusikia 'Mabeste' na ufugaji wa kuku wa mayai elfu kumi ndani ya miaka mitano(!).
Usifanye mzaha mkuu! Jukwaa hili siyo la kuleta utani.

Ngoja nikuulize tena swali jingine: Hivi unajua hao kuku 10,000 unaotamani kuwafuga wanataga mayai mangapi kwa siku wanapokuwa tayari wanataga kwa kiwango chao cha juu kabisa?
Hivi unajua ni Tsh, ngapi zinazopatikana kila siku unapouza mayai hayo?

Najua kwa utani wako utakuja hapa uniambie nikufahamishe taarifa hizo!

Mabeste Bhwanah! Unachosha sana mkuu wangu na hizi habari zako za utani utani.

Hii siyo kazi ya utani, hii ni kazi madhubuti sana!
kuku elf kum wanataga trei 250 had 300 na bei ya mfugaji kwa trei mmoja ni 7000 khy trei 300*7000 unapata mauzo 2100000 yaan milion 2 na laki mmoja
 
Wewe umesema ulishafuga kuku wa nyama, kwa hiyo unayo 'experience' kubwa kama unavyosema mwenyewe katika maswala ya ufugaji.

Sasa naomba usiniangushe, nategemea kusikia 'Mabeste' na ufugaji wa kuku wa mayai elfu kumi ndani ya miaka mitano(!).
Usifanye mzaha mkuu! Jukwaa hili siyo la kuleta utani.

Ngoja nikuulize tena swali jingine: Hivi unajua hao kuku 10,000 unaotamani kuwafuga wanataga mayai mangapi kwa siku wanapokuwa tayari wanataga kwa kiwango chao cha juu kabisa?
Hivi unajua ni Tsh, ngapi zinazopatikana kila siku unapouza mayai hayo?

Najua kwa utani wako utakuja hapa uniambie nikufahamishe taarifa hizo!

Mabeste Bhwanah! Unachosha sana mkuu wangu na hizi habari zako za utani utani.

Hii siyo kazi ya utani, hii ni kazi madhubuti sana!
sitakuangusha mkuu nitafanya kwelii ndan miak mitano nifike iyo target
 
Mkuu, usimuite 'Kalamu' bro, huyu anaweza kuwa sawa na umri wa Mzee wako. Amekuwepo hapa JF tangu ianzishwe miaka ya 2006, kwahiyo inaonesha ni mtu mwenye umri mkubwa. Kwakuwa JF hatufahamiani vizuri, huwa tunaitana kwa jina la ' Mkuu'. Hili jina huwa lina-generalise na humpa mtu hadhi yake inayostahili. Ha ha haa, ni ushauri tu, japo si muhimu sana kiviile. Tuendelee na mada yetu ya ufugaji kuku. Na mie nasubiri majibu yako kutokana na swali alilokuuliza Mkuu ' Kalamu' hapo juu.
sawah mkuu nimekuelew
 
kuku elf kum wanataga trei 250 had 300 na bei ya mfugaji kwa trei mmoja ni 7000 khy trei 300*7000 unapata mauzo 2100000 yaan milion 2 na laki mmoja
Hiyo ni kwa siku moja.
Sasa niambie, soko la namna hiyo unalo hapo ulipo;isije ikawa ni ndoto tu za mchana. Nilikwambia toka mwanzo mimi sibahatishi wala sitanii.
 
Hiyo ni kwa siku moja.
Sasa niambie, soko la namna hiyo unalo hapo ulipo;isije ikawa ni ndoto tu za mchana. Nilikwambia toka mwanzo mimi sibahatishi wala sitanii.
soko lipo mkuu nakaa kitunda wanunuzi wa mayai ni wengii mno kuna mhindi yupo kisemvule anatoa trei elf 2 kwa siku pia ata apa ninapokaa soko la mayai lipo kuhs soko ninalo labda ungeniambia mtaji wa kufk hao kuku
 
soko lipo mkuu nakaa kitunda wanunuzi wa mayai ni wengii mno kuna mhindi yupo kisemvule anatoa trei elf 2 kwa siku pia ata apa ninapokaa soko la mayai lipo kuhs soko ninalo labda ungeniambia mtaji wa kufk hao kuku

yaan ingetok now nina toe trei elf moja kwa siku ningepata soko na mayai yangeisha wakury wananunua mayai ya kutosha soko yaan lipo labd mtajii
 
soko lipo mkuu nakaa kitunda wanunuzi wa mayai ni wengii mno kuna mhindi yupo kisemvule anatoa trei elf 2 kwa siku pia ata apa ninapokaa soko la mayai lipo kuhs soko ninalo labda ungeniambia mtaji wa kufk hao kuku
Unaendelea "kulialia" mkuu 'mabestejr', tabia niliyokwambia kuachana nayo.

Wewe ni kijana unayejiamini katika kufanya jambo ulilolenga kulifanya; halafu unajitenga pembeni na kuanza kulialia kuhusu mtaji!

Umekwishaeleza hapa, unataka uanze ufugaji, ukianza na kuku wa mayai 500 (hukueleza unataka kuanza lini); lakini pia umekwishaeleza kwamba tayari wewe ulishakuwa mfugaji wa kuku wa nyama, (ingawaje hatujui ulifanikiwa kwa kiasi gani)?

Sasa kwa nini usianzie hapo. Chapa kazi na hao kuku wako 500. Kama umeweka nia kwenye kazi hiyo, hao watakuzalishia kuku 1000. Hivyo hivyo utaendelea kutanuka kwa hatua!

Lakini ni nani aliyekwambia kwamba mtaji ni lazima uwe nao mfukoni mwako? Kwani Marehemu Mengi alikuwa na mtaji wote alipokuwa akifanya kazi alizokuwa akizifanya?

Mobeste, naona bado hunielewi, lakini nitazidi kukuchokonoa tu, hadi akili ikuingie kichwani mwako.
 
Unaendelea "kulialia" mkuu 'mabestejr', tabia niliyokwambia kuachana nayo.

Wewe ni kijana unayejiamini katika kufanya jambo ulilolenga kulifanya; halafu unajitenga pembeni na kuanza kulialia kuhusu mtaji!

Umekwishaeleza hapa, unataka uanze ufugaji, ukianza na kuku wa mayai 500 (hukueleza unataka kuanza lini); lakini pia umekwishaeleza kwamba tayari wewe ulishakuwa mfugaji wa kuku wa nyama, (ingawaje hatujui ulifanikiwa kwa kiasi gani)?

Sasa kwa nini usianzie hapo. Chapa kazi na hao kuku wako 500. Kama umeweka nia kwenye kazi hiyo, hao watakuzalishia kuku 1000. Hivyo hivyo utaendelea kutanuka kwa hatua!

Lakini ni nani aliyekwambia kwamba mtaji ni lazima uwe nao mfukoni mwako? Kwani Marehemu Mengi alikuwa na mtaji wote alipokuwa akifanya kazi alizokuwa akizifanya?

Mobeste, naona bado hunielewi, lakini nitazidi kukuchokonoa tu, hadi akili ikuingie kichwani mwako.
mbn nilisem nitaanza
mwez wa nane kuku mayai nakuza mtaji saiz wa kuku nyama then niigie kwenye kuku mayai rasmi mwez wa nane
 
mbn nilisem nitaanza
mwez wa nane kuku mayai nakuza mtaji saiz wa kuku nyama then niigie kwenye kuku mayai rasmi mwez wa nane
SAWA.
Safari njema. Usisahau ni safari yenye vikwazo chungu nzima. Mafanikio hayapatikani bila ya kuwa na uthubutu wa kushindana na vikwazo.
 
SAWA.
Safari njema. Usisahau ni safari yenye vikwazo chungu nzima. Mafanikio hayapatikani bila ya kuwa na uthubutu wa kushindana na vikwazo.
sWa mkuu nakuelew nitatoa mrejesho
 
Umempa picha ya kutosha.

Lakini nina wasiwasi juu yake kama haya yatamsaidia.
Wasiwasi wangu ni kutokana na uvivu anaouonyesha hata katika kuomba msaada. Andiko lake tu linaonyesha kuwa huyu bwana ni mvivu, au ni mtu asiyekuwa makini na jambo analotafutia msaada.

Haelezi chochote kama anao uzoefu wowote wa kazi hiyo, au hata kuona wafugaji wengine katika eneo lake wanachofanya. Haelezi chochote amefikia hatua gani katika azma yake hiyo ya kutaka kuwa mfugaji, ili watu wanaotaka kumsaidia wajue wapi pa kuanzia ushauri wao.

Kiufupi ni kwamba, huyu bwana hana msisimko na kazi anayotaka kuifanya. Hata habari tu za soko kwake haimo kichwani mwake. Kaamua tu anataka kufuga kuku mia tano wa mayai, lakini hajui hata wapi pa kuanzia!

Anataka watu waanze ushauri wao toka A hadi Z, yeye yupo yupo tu hana hata kimoja anachojua?

Kazi yoyote inahitaji kutia nia na kuwa na moyo thabiti wa kuifanya kazi hiyo. Huyu haonyeshi kuwa yupo tayari kufuga. Akilazimisha, hata baada ya kupewa miongozo itakuwa ni hasara tupu kwake, na atalaani sana hata waliokuwa na nia ya dhati kumpa ushauri.
Una gubu wewe, kwani huwezi kumuelekeza mtu vizuri hadi umbeze?
 
Back
Top Bottom