Mimi nilioa bikira ngoja waje watakujibu
Mpeleke VETA lakini huko mbele ya safari tusijuane!!
Mke wangu kipenzi ana miaka 32. Alidungwa mimba na wahuni akiwa form 2 akapoteza network kimasomo. Sasa nataka nimrudishe kwenye chati awe na degree mbili kama mimi.
Nimrudishe form two, nimpeleke veta au nimuombee chuo kikuu pale mlimani.
Masihara na matusi sitaki tafadhali hii ni true stori.
Mke wangu kipenzi ana miaka 32. Alidungwa mimba na wahuni akiwa form 2 akapoteza network kimasomo. Sasa nataka nimrudishe kwenye chati awe na degree mbili kama mimi.
Nimrudishe form two, nimpeleke veta au nimuombee chuo kikuu pale mlimani.
Masihara na matusi sitaki tafadhali hii ni true stori.
Sasa aliyeishia form two utamwombeaje chuo mlimani? Lingine yeye yupo Tayari kusoma? He huwez kumfungulia biashara akabaki na form two yake ww ubaki na degree zako mbili?
Mke wangu kipenzi ana miaka 32. Alidungwa mimba na wahuni akiwa form 2 akapoteza network kimasomo. Sasa nataka nimrudishe kwenye chati awe na degree mbili kama mimi.
Nimrudishe form two, nimpeleke veta au nimuombee chuo kikuu pale mlimani.
Masihara na matusi sitaki tafadhali hii ni true stori.