Naomba muongozo wa kumrudisha mke wangu shule

Naomba muongozo wa kumrudisha mke wangu shule

76dd22370d4598ff2e9ef162f1b6fcbc.jpg


Mke wangu kipenzi ana miaka 32. Alidungwa mimba na wahuni akiwa form 2 akapoteza network kimasomo. Sasa nataka nimrudishe kwenye chati awe na degree mbili kama mimi.
Nimrudishe form two, nimpeleke veta au nimuombee chuo kikuu pale mlimani.
Masihara na matusi sitaki tafadhali hii ni true stori.
Nenda nae uchi hapo mlimana na form two yake ndyo atachukuliwa
 
Kusomesha mke sijui,nayojua ni Mchumba hasomeshwi
 
RESEARCH SIO LAZIMA UENDE CHUO KIKUU. KWA MAJIBU YALIYOTOLEWA HAPA RAIS MAGUFULI YUKO SAWA KUSEMA WALIOJIFUNGUA NA KUPOTEZA MUDA WA MASOMO WAENDE VETA.
 
Jambo kama lili lakujadili na mkeo unaleta kwa walimwengu?
 
Mimi nadhani hili suala ni kujadili wewe na mwenzako huko nyumbani....kwa kuwa ni suala binafsi na linalogusa utashi wa mkeo na wewe mwenyewe.......

Michango ya wadau na miongozo ya wadau inaweza ikapendekeza vitu vingi ambavyo havimpendezi mkeo....na wewe unaweza unaweza ukatumia uanaume wako kumfanya afanye ambayo wadau wamekushauri......bado unakuwa hujamsaidia mkeo....bali umemuweka utumwani.......

Education is not all about money and fame but is all about PASSION

Kaa na mkeo akueleze ndoto zake ambazo kila mtu anazo.....akueleze ambacho kinagusa moyo wake......

Maoni ya watu ni experience za maisha yao ya kila siku.....lakini maoni ya mkeo ndio halisi.....
[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
76dd22370d4598ff2e9ef162f1b6fcbc.jpg


Mke wangu kipenzi ana miaka 32. Alidungwa mimba na wahuni akiwa form 2 akapoteza network kimasomo. Sasa nataka nimrudishe kwenye chati awe na degree mbili kama mimi.
Nimrudishe form two, nimpeleke veta au nimuombee chuo kikuu pale mlimani.
Masihara na matusi sitaki tafadhali hii ni true stori.

Mpeleke akadungwe nyingine....mtu ambaye hakushiba jikoni hawezi kushibia sebuleni
 
kuna hii mitihani ya Cambridge O level and A level,unasoma online ila exam centre unatafuta mwenyewe,sijui hapo Dar km kuna kituo ,au kufanya kule british counsil.....????

hili swala Mama Ndalichako alivalie njuga,nchi nyingi zinataka wananchi wake wasome,sio kwa vile haukusoma kipindi cha nyuma,wewe ndio basi tena.
 
76dd22370d4598ff2e9ef162f1b6fcbc.jpg


Mke wangu kipenzi ana miaka 32. Alidungwa mimba na wahuni akiwa form 2 akapoteza network kimasomo. Sasa nataka nimrudishe kwenye chati awe na degree mbili kama mimi.
Nimrudishe form two, nimpeleke veta au nimuombee chuo kikuu pale mlimani.
Masihara na matusi sitaki tafadhali hii ni true stori.
Elimu ya tanzania ina tatizo gani? Mtu una degree mbili hujui namna ya kumuendeleza hawara yako? Au degree hewa? Rudi shule kwanza ndio hawara afuate
 
Mke wangu kipenzi ana miaka 32. Alidungwa mimba na wahuni akiwa form 2 akapoteza network kimasomo. Sasa nataka nimrudishe kwenye chati awe na degree mbili kama mimi.
Nimrudishe form two, nimpeleke veta au nimuombee chuo kikuu pale mlimani.
Masihara na matusi sitaki tafadhali hii ni true stori.
Kuna chuo kinaanzishwa soon nitakueleza umpeleke usajili wake ukikamilika mwezi huu
 
kwa umri huo nashauri mpeleke VETA apate ujuzi wa fani hasa elimu ya ufundi aongeze kipato nyumbani .Au alee tu watoto nyumbani na kuhudumia familia ukiwa umemfungulia duka/kibanda nyumbani maana siyo lazima wote muwe wasomi .
 
76dd22370d4598ff2e9ef162f1b6fcbc.jpg


Mke wangu kipenzi ana miaka 32. Alidungwa mimba na wahuni akiwa form 2 akapoteza network kimasomo. Sasa nataka nimrudishe kwenye chati awe na degree mbili kama mimi.
Nimrudishe form two, nimpeleke veta au nimuombee chuo kikuu pale mlimani.
Masihara na matusi sitaki tafadhali hii ni true stori.

Muombee Chuo Mlimani akasome Degree na hiyo "form two" yake.

 
76dd22370d4598ff2e9ef162f1b6fcbc.jpg


Mke wangu kipenzi ana miaka 32. Alidungwa mimba na wahuni akiwa form 2 akapoteza network kimasomo.

Sasa nataka nimrudishe kwenye chati awe na degree mbili kama mimi. Nimrudishe form two, nimpeleke VETA au nimuombee chuo kikuu pale mlimani.

Masihara na matusi sitaki tafadhali hii ni true stori.
Acha utani kwa serikali hii bora umtungulie biashara wewe unataka ukamsomeshe mam mzee
Ulikuwa wapi kipindi chote unavuta shuka uzeeeni
 
Tulishasema mke hasomeshwi,usije ukarudi hapa na macho mekundu
 
Back
Top Bottom