Nenda nae uchi hapo mlimana na form two yake ndyo atachukuliwa
Mke wangu kipenzi ana miaka 32. Alidungwa mimba na wahuni akiwa form 2 akapoteza network kimasomo. Sasa nataka nimrudishe kwenye chati awe na degree mbili kama mimi.
Nimrudishe form two, nimpeleke veta au nimuombee chuo kikuu pale mlimani.
Masihara na matusi sitaki tafadhali hii ni true stori.
[emoji122] [emoji122] [emoji122]Mimi nadhani hili suala ni kujadili wewe na mwenzako huko nyumbani....kwa kuwa ni suala binafsi na linalogusa utashi wa mkeo na wewe mwenyewe.......
Michango ya wadau na miongozo ya wadau inaweza ikapendekeza vitu vingi ambavyo havimpendezi mkeo....na wewe unaweza unaweza ukatumia uanaume wako kumfanya afanye ambayo wadau wamekushauri......bado unakuwa hujamsaidia mkeo....bali umemuweka utumwani.......
Education is not all about money and fame but is all about PASSION
Kaa na mkeo akueleze ndoto zake ambazo kila mtu anazo.....akueleze ambacho kinagusa moyo wake......
Maoni ya watu ni experience za maisha yao ya kila siku.....lakini maoni ya mkeo ndio halisi.....
Mke wangu kipenzi ana miaka 32. Alidungwa mimba na wahuni akiwa form 2 akapoteza network kimasomo. Sasa nataka nimrudishe kwenye chati awe na degree mbili kama mimi.
Nimrudishe form two, nimpeleke veta au nimuombee chuo kikuu pale mlimani.
Masihara na matusi sitaki tafadhali hii ni true stori.
Elimu ya tanzania ina tatizo gani? Mtu una degree mbili hujui namna ya kumuendeleza hawara yako? Au degree hewa? Rudi shule kwanza ndio hawara afuate
Mke wangu kipenzi ana miaka 32. Alidungwa mimba na wahuni akiwa form 2 akapoteza network kimasomo. Sasa nataka nimrudishe kwenye chati awe na degree mbili kama mimi.
Nimrudishe form two, nimpeleke veta au nimuombee chuo kikuu pale mlimani.
Masihara na matusi sitaki tafadhali hii ni true stori.
Kuna chuo kinaanzishwa soon nitakueleza umpeleke usajili wake ukikamilika mwezi huuMke wangu kipenzi ana miaka 32. Alidungwa mimba na wahuni akiwa form 2 akapoteza network kimasomo. Sasa nataka nimrudishe kwenye chati awe na degree mbili kama mimi.
Nimrudishe form two, nimpeleke veta au nimuombee chuo kikuu pale mlimani.
Masihara na matusi sitaki tafadhali hii ni true stori.
Mke wangu kipenzi ana miaka 32. Alidungwa mimba na wahuni akiwa form 2 akapoteza network kimasomo. Sasa nataka nimrudishe kwenye chati awe na degree mbili kama mimi.
Nimrudishe form two, nimpeleke veta au nimuombee chuo kikuu pale mlimani.
Masihara na matusi sitaki tafadhali hii ni true stori.
😀Sasa aliyeishia form two utamwombeaje chuo mlimani? Lingine yeye yupo Tayari kusoma? He huwez kumfungulia biashara akabaki na form two yake ww ubaki na degree zako mbili?
Acha utani kwa serikali hii bora umtungulie biashara wewe unataka ukamsomeshe mam mzee
Mke wangu kipenzi ana miaka 32. Alidungwa mimba na wahuni akiwa form 2 akapoteza network kimasomo.
Sasa nataka nimrudishe kwenye chati awe na degree mbili kama mimi. Nimrudishe form two, nimpeleke VETA au nimuombee chuo kikuu pale mlimani.
Masihara na matusi sitaki tafadhali hii ni true stori.
Asije akaja analia hapaMpeleke VETA lakini huko mbele ya safari tusijuane!!
Anawarudishia wahuni wafanye yao kwa mara nyingine tena... ¿...Unataka kufanya kitu cha kipumbavu maishani mwako