Naomba muongozo wa matumizi ya dawa za jamii ya viagra

Wewe una tatizo la kisaikolojia zaidi na sio tatizo la kimwili....nakushauri achana na dawa tafuta mwanamke utakaemwamini uwe muwazi kwake umuombe akusaidie kuovercome hilo tatizo
Hapo ndo atachemka zaidi maana kwa hawa wanawake wa sasa ataishia kumtamkia maneno ya kumkatisha tamaa kama " yaani wewe huwezi kunifikisha bora tulale tu"
Halafu lazima awe anampa hela sana ili asimtangaze kwa marafiki kwamba jamaa hamna kitu[emoji1787][emoji1787]
 
tatizo lako ilo lnatibka kama utakuwa tayali mimi nilisha kata tamaa ila nilipona bila ata mia
 
dah bado hali sio shwari, nimeshindwa kujaribu kwa hofu,
Kwanin umeshindwa mkuu hapo jaribu tadanafil hospital kama wakikupima wakaona huna shida utapewa tadalafil kwa ajaili yakutibu Ed na kuongeza comfidance
 
Kwanin umeshindwa mkuu hapo jaribu tadanafil hospital kama wakikupima wakaona huna shida utapewa tadalafil kwa ajaili yakutibu Ed na kuongeza comfidance
Mkuu wewe vipi ushatoboa na ile dozi yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…