Naomba mwenye cv na datas za rita

Naomba mwenye cv na datas za rita

Kama binadamu yoyote labda ana mapungufu yake, lakin mimi namfahamu kwa mema tu niliyoyaona kwake.
Mpole,msikivu,hachoshi kuongea naye,ana upendo,mchapa kazi,anajipenda na kujithamini,anaijali sana afya yake, si mtu wa kukata tamaa wala kumkatisha mtu tamaa.
Mtafute kwenye website ya ofisi yake,ili ufanye contact naye ,pia upate cv yake kama kweli unamtafuta kwa wema.
All the best.

asante sana mkuu ushauri mzuri
 
umeongea cha maana sana kuna watu wako kukatisha wenzao tamaa, nimefurahi ulipoongolea kwenye swala la kazi, niliomba kazi mahali wakaniambia qualification huna sijui sijui mwisho wa siku nikapata mimi wao na experience zao za miaka mia chali
 
u said it all mkuu,katika maisha ili ufanikiwe,sometimes ni lazima ku risk.Wabongo uoga uoga uoga..eti siyo size yake?Kwani umesikia anataka kumbeba mgongoni???
Kutojiamini ndio kumeyaleta haya hapa jamvini,vingapi mnavyofanya hamvileti hapa au ni kwa vile are within your capacity?? shame!!!umeshaelekezwa ofisini kwake ukifanikiwa au kutofanikiwa uje kutujuza hapa.
 
sister mzur komaa mwana utafute detail zke wana wivu wa2 wengine uskute wa2 wengi wanaogopa kwa kumuingia na kumuona matawi ya juu kumbe co wa kiivyo nae wenda anatafta m2 lkn may b anajiuliza kwann wa2 hawanifuati
 
.......She is The Executive Director of BenchMark Productions, She once dated with IPP Chairman, but they are separated. She has one kid

Kumbe walishamwagana na mzee wa IPP,lakini kamwacha fresh tu.
 
Kama binadamu yoyote labda ana mapungufu yake, lakin mimi namfahamu kwa mema tu niliyoyaona kwake.
Mpole,msikivu,hachoshi kuongea naye,ana upendo,mchapa kazi,anajipenda na kujithamini,anaijali sana afya yake, si mtu wa kukata tamaa wala kumkatisha mtu tamaa.
Mtafute kwenye website ya ofisi yake,ili ufanye contact naye ,pia upate cv yake kama kweli unamtafuta kwa wema.
All the best.

Mmmh! keshaenda kupata kikombe kwa babu?
 
Mwana JF Boma2000 usikatiswe tamaa na wanaokunanga wewe ndopekee unajuu jinsi gani roho yako unaumii juu yake, nakushauri nenda Benchmark production ombakuonana naye ni mtu mwema sana hadharau wazo/ ombi la mtu kwa vile si hulka yake atapima na kama atatofautiana na wewe atakuelewesha bila kukukwaza na pengine usumbufu uupatao juu yake utakuwa umeisha. Lkn pia ni mtu makini ni vyema ukipata hiyo nafasi ya kumuona uwe straight badala ya kupindapinda na kumpotezea muda mwingi. Good lucky.
 
kwa kweli sina habari zake kwa undani jamani..............ila nadhani ni good women...


yes she is a good woman indeed.....

before she was working in a brothel were mr mengi use to visit to releave stress[ a vip brothel along kawe beach]....she became mzee favourite bitch....from there akaamua kumsaidia kumfungulia kampuni na kimaisha kwa ujumla akamtoa ...but beside that she is brilliant.....ana mtoto mmoja alizaa na mzungu!
 
ana asili ya Rwanda

amefanya kazi zimbabwe kama mwandishi wa habari baada ya hari hewa kuchafuka zimbabwe akarudi bongo na akaajiriwa IPP mzee akafika bei , akawa nyumba ndogo . anakaa kinondoni kwenye nyumba ya mengi hope amempa ni nyumba ya ukweli, ana miaka 43 kwa sasa na ni mpiganiaji , anamiliki kampuni yake mwenyewe inashughurika na video productin( Bench mark production ) . ana mtoto mmoja wa kike anasoma uk , haka kabinti kake ni kamapepe hakajarulia.

ofisi zake zipo mikocheni unaweza nenda ukamwona ni mtu poa atakupa ushirikiano wa kutosha ,
 
nilisikia kama ni mtoto wa wale wagiriki wa kitz yaani walowezi, ambao mashamba yao mengine yapo Zimbabwe...actually yeyey anasema alisoma hadi la saba zimbabwe kama sikosei...ni chotara wa kikigiri kama sikosei...hayo yake na mengi, mimi siyahitaji kwasababu kila mtu anapigana kwa aina yake....roho ni nzuri kibinadamu, ila kwahabari ya mambo mengine ya kimungu, nadhani hana lolote, ndomaana alichukua ndoa ya mke wa mengi yeye awe nyumba ndogo.ukiona mtu anaiba mke wa mwenzie, ujue roho yake ni ya kutu au chura...mwanamke mwenye roho nzuri huwa anawaonea wanawake wenzie walioolewa huruma asiwaibie waume zao...
 
Du mzee wa shiri matunda naye kumbe yumo,wazee wanapenda mahindi lainiii
 
yes she is a good woman indeed.....

before she was working in a brothel were mr mengi use to visit to releave stress[ a vip brothel along kawe beach]....she became mzee favourite bitch....from there akaamua kumsaidia kumfungulia kampuni na kimaisha kwa ujumla akamtoa ...but beside that she is brilliant.....ana mtoto mmoja alizaa na mzungu!

C'on people!, seriously??!!!, Are you people sure about wht you talking about? they met when Rita was working at ITV. You're so lucky, ingekuwa kwengine you'd ve been sued for publishing incorrect info about someone. If you dont have anything important to talk about kakojee ulale. mxxxxxxxxxxxxxxx!
 
Back
Top Bottom