Naomba mwenye kufahamu kiwango cha mshahara kwa walimu cheti anijuze tafadhari


hahahahaha!!!!!
 
Ukisikia kichwa cha bundi ndio wewe. Be a great thinker my dear.....hujui basic salary yako!! Jipange.

Huyu ni mburula tu.Isitoshe huwezi kwenda kopa ABC na riba kubwa zote zile ukaacha NMB ambako na mshahara wako unapita.Vp hukusaini mkataba wa kazi hadi hujui mshahara wako?
Mada za hivi peleka facebook
 
Umemaliza kila kitu mkuu:-\
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…