Naomba Mwenye Mawasiliano ya Diana wa Siri za Familia: Pale Nimekufa,nimeoza ila Sinuki tu!

Naomba Mwenye Mawasiliano ya Diana wa Siri za Familia: Pale Nimekufa,nimeoza ila Sinuki tu!

ChamaDola

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2016
Posts
3,431
Reaction score
2,804
Wakuu,
Mwenye mawasiliano yake aweke hapa!
Sipundui pale,akiniomba chochote hata nusu ya "ufalme" wangu nitampa!
Mbaya zaidi kuna dogo jirani yangu anafanana nae mpaka basi,nimembatiza jina la Diana!
Ebu nisaidieni...
 
Mfate instagram mkuu ila nakupa tahadhali yule ni demu wangu na namioango nae mingi sana so tusiharibiane kama maswala ya kazi mtafute sina noma
 
Wakuu,
Mwenye mawasiliano yake aweke hapa!
Sipundui pale,akiniomba chochote hata nusu ya "ufalme" wangu nitampa!
Mbaya zaidi kuna dogo jirani yangu anafanana nae mpaka basi,nimembatiza jina la Diana!
Ebu nisaidieni...

Jisogeze mahali anapofanyia kazi zake, contacts utazipata kwa uraisi ili uache kufa na kuoza mkuu!!!!!!!!!!!!!
 
deod mkuu nimekusikia,ahahaha!it is purely business stuff!
 
Back
Top Bottom