Naomba mwenye Nakala za Vitabu Cha Historia alivyo andaa Magufuli na Ndalichako!

Naomba mwenye Nakala za Vitabu Cha Historia alivyo andaa Magufuli na Ndalichako!

MAKULUGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2011
Posts
7,828
Reaction score
10,527
Waungwana niwatakie jumapiki njema!
Mimi ni mojawapo ya waliokuwa wanasubiri Kwa shaukukubwa Vitabu vioya vya Historian alivyoekeza Mh.MAgufuli viandikwe...!
Najua vilikuwa kwenye hatua ya mwishi!
Naomba mwenye nacho hata kimoja yuone hiyo Historia moya ilikuwaje!
 
Back
Top Bottom