N nguvu JF-Expert Member Joined Jun 13, 2013 Posts 22,976 Reaction score 22,564 Aug 6, 2024 #121 Lucas Mwashambwa said: Acha ujinga wako na utoto wako wakijinga jinga kama Levi la gongo. Nimesema weka picha ya Mbowe halafu wewe unaleta utoto wako hapa. Click to expand... Utoto vipi kwani hajaolewa? Basi weka nyumba nthobe yake tuione
Lucas Mwashambwa said: Acha ujinga wako na utoto wako wakijinga jinga kama Levi la gongo. Nimesema weka picha ya Mbowe halafu wewe unaleta utoto wako hapa. Click to expand... Utoto vipi kwani hajaolewa? Basi weka nyumba nthobe yake tuione
L lusohoko JF-Expert Member Joined May 12, 2024 Posts 800 Reaction score 696 Aug 7, 2024 #122 kilambalambila said: Bado wanatafuna hela za kumnunulia gari Lisu na za wadau wao wengine kwanza washibe Click to expand... Zinazotafunwa na viongozi wako wa CCM unazijua? Wenzio wanapoimba mikono yao wanarudisha kwenye vitambi wewe unasambaza mikono maana hauna kitambi. Za mgogoro wa zao la miwa, Dpw, rongorongo nk...... .
kilambalambila said: Bado wanatafuna hela za kumnunulia gari Lisu na za wadau wao wengine kwanza washibe Click to expand... Zinazotafunwa na viongozi wako wa CCM unazijua? Wenzio wanapoimba mikono yao wanarudisha kwenye vitambi wewe unasambaza mikono maana hauna kitambi. Za mgogoro wa zao la miwa, Dpw, rongorongo nk...... .