Kayanga karagwe
Member
- Nov 21, 2023
- 28
- 60
Kauli zenu ndio zinaendelea kuisambaratisha CHADEMA kila siku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kauli zenu ndio zinaendelea kuisambaratisha CHADEMA kila siku.
Hivi si ni nyie Ma CHADEMA mnaliliaga nafasi ya kuongea Msibani? Si. Innyie kwa Hayati lowassa mlikuwa mnalilia kutaka nafasi ya kuongea?😃😃Acha tabia za kishambenga ww utakuja kukatiwa shanga. Msibani sio sehemu za kwenda kutafutia kiki za kisiasa. Kama watu wataenda sio kusaka picha ili waonekane wameenda, bali ni kwa ajili ya kuzika tu. Ccm ndio mnaendekeza hizo siasa za kipuuzi, hivyo mnaona msibani ni sehemu za kwenda kupigia picha ili mjifanye ni watu wema.
Mwana CCM yeyote yule anakuwa na moyo wa upendo na huruma.ndio maana chama kinapendwa nakuungwa mkono na kila mtanzania mwenye akili Timamu na anayejitambua vyema.tofauti na huko kwingine ambako Watu wamejaa na roho mabaya utafikiri mashetani.Huyo mbona kitambo tu yuko CCM si umeona viongozi wengi waandamizi wa CCM na Serikali waamekwenda kuhani hapo.
Nyie mimi nani? Narudia tena acha ushambenga dogo utakuja kupakatwa, msibani sio sehemu ya kusaka kiki, bali ni kuzika.Hivi si ni nyie Ma CHADEMA mnaliliaga nafasi ya kuongea Msibani? Si. Innyie kwa Hayati lowassa mlikuwa mnalilia kutaka nafasi ya kuongea?😃😃
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu na wachawiMwana CCM yeyote yule anakuwa na moyo wa upendo na huruma.ndio maana chama kinapendwa nakuungwa mkono na kila mtanzania mwenye akili Timamu na anayejitambua vyema.tofauti na huko kwingine ambako Watu wamejaa na roho mabaya utafikiri mashetani.
Songwe ni karibu sana na Sumbawanga.CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu na wachawi
Nyie mnachoweza ni kulambishana sumu tu.Hivi si ni nyie Ma CHADEMA mnaliliaga nafasi ya kuongea Msibani? Si. Innyie kwa Hayati lowassa mlikuwa mnalilia kutaka nafasi ya kuongea?😃😃
Hahimizwi kumalizia dozi.Luca is the best lunatic ever happened unto earth!Niliwaambia huyu Lucas ni kiazi kilichokosa moto wa kutosha kuiva, yeye anadaka taarifa ikishatoka na hafanyi utafiti.
Sasa badala ya hata kupiga simu kanisani kwenye ibada ya mazishi kuuliza je, Mbowe na na viongozi wa chadema wapo huko au hawapo?, yeye anakurupuka kama hivi.
Haya badala ya picha ambayo angeweza kusema ni editing kaonyeshwa na picha mjongeo kabisa (sinema), ahe afute au aombe samahani.
Mkuu, si uweke picha tu yaishe!? Kitu kidogo namna hiyo watu mnabishana siku nzima kweli?Nyie mimi nani? Narudia tena acha ushambenga dogo utakuja kupakatwa, msibani sio sehemu ya kusaka kiki, bali ni kuzika.
Mbunge wa chama gani wewe?Hebu acha hizo.Mpaka sasa haujaona Mbowe yupo msibani?Mkuu, si uweke picha tu yaishe!? Kitu kidogo namna hiyo watu mnabishana siku nzima kweli?
Mbunge wenu kafiwa na mama yake mzazi, chama kinapokea ruzuku ya ubunge wake, kwenda kwenye msiba ni jambo la utu. Weka pics yaishe.
Soma tena andiko langu na siyo kukurupuka kama kuku aliyetoka kutaga 😃😃😃 .Niliwaambia huyu Lucas ni kiazi kilichokosa moto wa kutosha kuiva, yeye anadaka taarifa ikishatoka na hafanyi utafiti.
Sasa badala ya hata kupiga simu kanisani kwenye ibada ya mazishi kuuliza je, Mbowe na na viongozi wa chadema wapo huko au hawapo?, yeye anakurupuka kama hivi.
Haya badala ya picha ambayo angeweza kusema ni editing kaonyeshwa na picha mjongeo kabisa (sinema), ahe afute au aombe samahani.
Mlisema Mbowe mmetumiwa picha ya mbowe yuko msibani mmehama sasa mnasema LissuLissu alivyo na roho mbaya, hataenda msibani.
Wakati amelazwa Nairobi alikuwa analalamika watu hawaendi kumuona, yeye hata msibani haendagi
Hana akiliNiliwaambia huyu Lucas ni kiazi kilichokosa moto wa kutosha kuiva, yeye anadaka taarifa ikishatoka na hafanyi utafiti.
Sasa badala ya hata kupiga simu kanisani kwenye ibada ya mazishi kuuliza je, Mbowe na na viongozi wa chadema wapo huko au hawapo?, yeye anakurupuka kama hivi.
Haya badala ya picha ambayo angeweza kusema ni editing kaonyeshwa na picha mjongeo kabisa (sinema), ahe afute au aombe samahani.
Na huyu kibaka ni mchawi kinoma ndiyo maana macho yake mekundu sanaSongwe ni karibu sana na Sumbawanga.
Nenda post namba moja achia nyinginezo, ukaone kinachomliza huyo shambenga. Hakuna ruzuku yoyote cdm inapata kupitia hao wabunge. Ruzuku ya cdm inatokana na kura za za urais walizopata kutoka kwenye ule uchaguzi wa kihayawani.Mkuu, si uweke picha tu yaishe!? Kitu kidogo namna hiyo watu mnabishana siku nzima kweli?
Mbunge wenu kafiwa na mama yake mzazi, chama kinapokea ruzuku ya ubunge wake, kwenda kwenye msiba ni jambo la utu. Weka pics yaishe.
Acha ujinga wako hapa.Na huyu kibaka ni mchawi kinoma ndiyo maana macho yake mekundu sana
Picha umeiona au hujaiona??Acha ujinga wako hapa.
Wacha upumbavu wako hapa,nyau.Acha ujinga wako hapa.