KANYEGELO
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 2,238
- 4,885
- Thread starter
- #21
Update nashukuru kwa ushauri wenu nilifanikiwa kununua matatu , ila moja naona Lina tatizo la fuel pump, but nashuru japo nilipitia katika vita Kali sana siku niliyotaka kununua ndio siku Gari yangu penda nayo ikapata crush , but all in all project inaanza very soon Quattion kutoka Kenya nimeshapata kuanza modification