Update nashukuru kwa ushauri wenu nilifanikiwa kununua matatu , ila moja naona Lina tatizo la fuel pump, but nashuru japo nilipitia katika vita Kali sana siku niliyotaka kununua ndio siku Gari yangu penda nayo ikapata crush , but all in all project inaanza very soon Quattion kutoka Kenya nimeshapata kuanza modification