Hapa Bongo kwenye Yard vinauzwaje?
Ukiagiza toka Japan mpaka kutoa bandarini inagharimu kiasi gani?
Used inayofaa kutoka kwa mtu inahitaji kama kiasi gani? Unywaji wake wa mafuta vipi?
Nataka kutafuta kamoja chap kwa issue zangu za mifugo na kilimo, inaonekana tuna save sana mafuta.
Kwa nini ni biashara nzuri kama inabidi ujiandae kupata pressure? Uwezo mdogo wa kujieleza wa Watanzania.Kumbuka; Kama una ugonjwa wa moyo usifanye hiyo kazi. Kama hauna ugonjwa moyo jitayarishe
Angalizo; ni biashara nzuri ikiwa utaanza na carry tatu kwa mara moja na si moja
Mkuu km carry moja ipo pending tuingie mkatabaMara ya mwisho kuagiza carry Japan ilikwa mwaka 2012. Ilinighaimu kama $1100 kila moja na zilikuwa sita ndani ya container.Final destination ni Znzbar.
kwa mini unauzaMm nauza yangu namba D 7mil. tu
Nataka nichukue canter tani mbilikwa mini unauza
Aha utaratibu huu ni mzuri , kwa yeyote mwenye carry, mimi ni dereva nina "VALID LICENCE" nahitaji kukodi Nipo Dar 0759601820Nimeona pia utaratibu wa mkataba wa miaka2,yaani miezi 24~utaratibu ni kuwa baada ya miaka2 gari ni la driver~kila wiki anakuletea 175,000/= so kwa mwezi ni laki7(700,000/=) kwa mwaka ni 8,400,000/= kwa miaka 2 inakuwa 16.8m
Utaratibu huu ni kuwa driva anakuwa mwangalifu sana na gari kwani indirectly chombo~gari ni yake
Mafuta na matengenezo madogo madogo ni juu yake
Kuna jamaa yangu ana hizi carry 3 utapenda anavo~sanya cash mwisho wa wiki laki 5.25 (525,0000/=)
Biashara haina usumbufu kabisa~ila angalizo Mungu asaidie upate driver mzuri anayejua mkataba ni nini
Nawasilisha viongozi
5M niPM tufanye manunuzi leoMm nauza yangu namba D 7mil. tu
Itafika Bei Gani Hadi Kukatoa Bandarini?Nimekaagiza kamoja kanakuja mwezi ujao ila saizi vimepanda sana bei. Ngoja nami nije nione changamoto zake. Ila mpaka hapo nimeanza kuona kilicho mbele yangu.
Nimeona pia utaratibu wa mkataba wa miaka2,yaani miezi 24~utaratibu ni kuwa baada ya miaka2 gari ni la driver~kila wiki anakuletea 175,000/= so kwa mwezi ni laki7(700,000/=) kwa mwaka ni 8,400,000/= kwa miaka 2 inakuwa 16.8m
Utaratibu huu ni kuwa driva anakuwa mwangalifu sana na gari kwani indirectly chombo~gari ni yake
Mafuta na matengenezo madogo madogo ni juu yake
Kuna jamaa yangu ana hizi carry 3 utapenda anavo~sanya cash mwisho wa wiki laki 5.25 (525,0000/=)
Biashara haina usumbufu kabisa~ila angalizo Mungu asaidie upate driver mzuri anayejua mkataba ni nini
Nawasilisha viongozi
Hizi Carry bei yake imefika ngapi kama nataka kununua hapa Tz?
weka pichaNataka nichukue canter tani mbili
Nataka nichukue canter tani mbili
Hakuna biashara isiyo na changamoto wapendwa.Nachoona biahsra yoyote ile kinachotakiwa ni uvumilivu tu na kuwajibika tu ndo utaona mafanikio,,Na idea nyingi kwnye hili jukwaa ni nzuri kweli ila pia ingekua vizuri tukawa tunaleta mrejesho mtu ajue na changamoto zake asije kata tamaa kabla