Naomba mwongozo: Nina Suzuki Carry, nataka kumpa Dereva ambaye atakuwa akiniletea malipo kwa wiki

Naomba mwongozo: Nina Suzuki Carry, nataka kumpa Dereva ambaye atakuwa akiniletea malipo kwa wiki

Hapa Bongo kwenye Yard vinauzwaje?
Ukiagiza toka Japan mpaka kutoa bandarini inagharimu kiasi gani?
Used inayofaa kutoka kwa mtu inahitaji kama kiasi gani? Unywaji wake wa mafuta vipi?
Nataka kutafuta kamoja chap kwa issue zangu za mifugo na kilimo, inaonekana tuna save sana mafuta.


Mara ya mwisho kuagiza carry Japan ilikwa mwaka 2012. Ilinighaimu kama $1100 kila moja na zilikuwa sita ndani ya container.Final destination ni Znzbar.
 
Kumbuka; Kama una ugonjwa wa moyo usifanye hiyo kazi. Kama hauna ugonjwa moyo jitayarishe

Angalizo; ni biashara nzuri ikiwa utaanza na carry tatu kwa mara moja na si moja
Kwa nini ni biashara nzuri kama inabidi ujiandae kupata pressure? Uwezo mdogo wa kujieleza wa Watanzania.
 
Nimeona pia utaratibu wa mkataba wa miaka2,yaani miezi 24~utaratibu ni kuwa baada ya miaka2 gari ni la driver~kila wiki anakuletea 175,000/= so kwa mwezi ni laki7(700,000/=) kwa mwaka ni 8,400,000/= kwa miaka 2 inakuwa 16.8m
Utaratibu huu ni kuwa driva anakuwa mwangalifu sana na gari kwani indirectly chombo~gari ni yake
Mafuta na matengenezo madogo madogo ni juu yake
Kuna jamaa yangu ana hizi carry 3 utapenda anavo~sanya cash mwisho wa wiki laki 5.25 (525,0000/=)
Biashara haina usumbufu kabisa~ila angalizo Mungu asaidie upate driver mzuri anayejua mkataba ni nini
Nawasilisha viongozi
Aha utaratibu huu ni mzuri , kwa yeyote mwenye carry, mimi ni dereva nina "VALID LICENCE" nahitaji kukodi Nipo Dar 0759601820
 
Kwanza naomba nikushukuru kwa kunipa wazo ambalo sikulifikiria kabisa.Sasa naomba niulize maswali machache:-

1. Katika scenario uliotoa, nani atakuwa analipa Insurance, Income tax, road Licence?
2. Zile Service za kila baada ya km 3000, nani atakuwa analipia hizo gharama?

Pia naomba kukuliza kama unajua kuhusu hili suala la kulipa Income Tax TRA kwa hizi Suzuki carry. Mimi kwa sasa nalipia Income Tax gari mojamoja Tsh. 318000 kwa mwaka, ila nisikia kwa mtu (Sina uthibitisho) kwamba naweza kulipia magari yote kwa pamoja ambapo nitatozwa bei pungufu.

Nawakilisha.

Ahsante


Nimeona pia utaratibu wa mkataba wa miaka2,yaani miezi 24~utaratibu ni kuwa baada ya miaka2 gari ni la driver~kila wiki anakuletea 175,000/= so kwa mwezi ni laki7(700,000/=) kwa mwaka ni 8,400,000/= kwa miaka 2 inakuwa 16.8m
Utaratibu huu ni kuwa driva anakuwa mwangalifu sana na gari kwani indirectly chombo~gari ni yake
Mafuta na matengenezo madogo madogo ni juu yake
Kuna jamaa yangu ana hizi carry 3 utapenda anavo~sanya cash mwisho wa wiki laki 5.25 (525,0000/=)
Biashara haina usumbufu kabisa~ila angalizo Mungu asaidie upate driver mzuri anayejua mkataba ni nini
Nawasilisha viongozi
 
Kwanza napenda kukushauri ni vyema ukaagiza kuliko kununua hapa. Kama Shilingi yetu ikiimarika bei za haya magari si kubwa, nimeagiza gari moja ambayo naitoa bandarini wiki hii ambayo imenigharimu kama Tshs 8,200,000 (gari kufika nyumbani kwangu). Hapo nitabakiwa na Insurance pamoja na malipo ya kuanzia ya Income Tax.

Ahsante

Hizi Carry bei yake imefika ngapi kama nataka kununua hapa Tz?
 
Wazee tunashukuru sana kwa kuoneshana fursa kwenye upande huu.. Mbarikiwe sana
 
Hakuna biashara isiyo na changamoto wapendwa.Nachoona biahsra yoyote ile kinachotakiwa ni uvumilivu tu na kuwajibika tu ndo utaona mafanikio,,Na idea nyingi kwnye hili jukwaa ni nzuri kweli ila pia ingekua vizuri tukawa tunaleta mrejesho mtu ajue na changamoto zake asije kata tamaa kabla
 
Hakuna biashara isiyo na changamoto wapendwa.Nachoona biahsra yoyote ile kinachotakiwa ni uvumilivu tu na kuwajibika tu ndo utaona mafanikio,,Na idea nyingi kwnye hili jukwaa ni nzuri kweli ila pia ingekua vizuri tukawa tunaleta mrejesho mtu ajue na changamoto zake asije kata tamaa kabla
 
Back
Top Bottom