Naomba mwongozo wa kufanya biashara ya dhahabu

Fahamu bei ya wastani ya dhahabu,
Nunua mzani mdogo

Ijue dhahabu

Tafuta taarifa za dhahabu za wapi zina pc nyingi ya ubora

Tafuta taarifa na ujue wapi wanauzia....

Tafuta connect ya wauzaji wadogo wadogo maana unaweza kuwa na hiyo hela ila usiipate dhahabu kutoka kwa hawa wadogo maana wengi wao wanawauzia wafadhiri wao

Leseni ni muhimu maana ukidakwa bila leseni unapewa uhujumu uchumi au polisi watakutoa hela
 
Mtafute Marley Dollars kwenye Instagram atakupa ABCs.
 
nashukuru kwa mwongozo murua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja ya biashara ambayo ni pasua kichwa ni biashara ya dhahabu
Mimi nimezaliwa ktk familia ya wachimbaji wa madini
Na kwa kiasi Fulani nimefanya biashara ya dhahabu ktk ya mwaka 2005-2007
Pia nimewahi kuchimba
So ushauri wngu kwanza Tembelea Maeneo yanakochimbwa madini husika
Kama uko Dar es salaam Tembelea pale bwawani morogoro
Kwa ndani kidogo kuna machimbo au fika pale Mahenge morogoro
Sehemu zingine ni Chunya pia wilaya kama Tunduru
Ujipange hasa maana ni biashara iliyojaa utapeli mwingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
asante kwa ushaur

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi utapeli kwenye hii biashara unatokana na kutojua madini yenyewe au kutojua bei yake?

Sent using Jamii Forums mobile app
vyote na vngnevyo unavyohisi ni sababu ..kuna vtu vnafanania asilimia zote nadhahabu vnaitwa kakumba kukitofautsha labdaa uchome kwa gas na kupima asilimia ,ambapo kwa wanunuz wa chini n ngumu, kingne ni bei ya dhahbu kila sku inabadlka kushuka na kupanda kuna kpnd inashuka mpka bei ulyonunulia inamezwa kabsaaaaa na kuna kpnd inapanda saf kabsaa ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…