Delly Mandah
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 391
- 194
- Thread starter
-
- #21
Andunje acha mikwara[emoji1] [emoji1] [emoji10] [emoji10]Njoo hapa Bunju mkuu nikupe 10,000,000 iboost maana unaonekana una mtaji wa kuungaunga
nashukuru maana unanifatilia hayo yote nimefanya na kufanikiwa,,,,Vipodozi, nguo za watoto, Nadia,, Leo BIASHARA ya dhahabu [emoji28][emoji28][emoji28], sijui kesho utakuja na kip Mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo tuzungumze pm kama uko seriousnashukuru maana unanifatilia hayo yote nimefanya na kufanikiwa,,,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtafute Marley Dollars kwenye Instagram atakupa ABCs.habarin ndg zangun,,,ni mda mrefu sana,,nimetaman kufanya biashara ya dhahabu,,ila muda nilikuwa nakosa,,kutokana na majukumu,,,sasa nina muda wa kufanya hiyo biashara,,naomba kuelimishwa,,1.mzigo unapatikana wap?2.soko lake
likoje,,nawasilisha,, kwa Maon yenu
Sent using Jamii Forums mobile app
nashukuru kwa mwongozo muruaFahamu bei ya wastani ya dhahabu,
Nunua mzani mdogo
Ijue dhahabu
Tafuta taarifa za dhahabu za wapi zina pc nyingi ya ubora
Tafuta taarifa na ujue wapi wanauzia....
Tafuta connect ya wauzaji wadogo wadogo maana unaweza kuwa na hiyo hela ila usiipate dhahabu kutoka kwa hawa wadogo maana wengi wao wanawauzia wafadhiri wao
Leseni ni muhimu maana ukidakwa bila leseni unapewa uhujumu uchumi au polisi watakutoa hela
asante kwa ushaurMoja ya biashara ambayo ni pasua kichwa ni biashara ya dhahabu
Mimi nimezaliwa ktk familia ya wachimbaji wa madini
Na kwa kiasi Fulani nimefanya biashara ya dhahabu ktk ya mwaka 2005-2007
Pia nimewahi kuchimba
So ushauri wngu kwanza Tembelea Maeneo yanakochimbwa madini husika
Kama uko Dar es salaam Tembelea pale bwawani morogoro
Kwa ndani kidogo kuna machimbo au fika pale Mahenge morogoro
Sehemu zingine ni Chunya pia wilaya kama Tunduru
Ujipange hasa maana ni biashara iliyojaa utapeli mwingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
vyote na vngnevyo unavyohisi ni sababu ..kuna vtu vnafanania asilimia zote nadhahabu vnaitwa kakumba kukitofautsha labdaa uchome kwa gas na kupima asilimia ,ambapo kwa wanunuz wa chini n ngumu, kingne ni bei ya dhahbu kila sku inabadlka kushuka na kupanda kuna kpnd inashuka mpka bei ulyonunulia inamezwa kabsaaaaa na kuna kpnd inapanda saf kabsaa ...Hivi utapeli kwenye hii biashara unatokana na kutojua madini yenyewe au kutojua bei yake?
Sent using Jamii Forums mobile app