Bexb
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 715
- 1,619
Habari ya wakati huu wakuu.
Ninaomba maelekezo na mwongozo kwa vibali ambavyo mtu/kampuni inapaswa kuwa navyo ili iweze kufanikisha kusafirisha mbao/magogo kwenda nje ya nchi hasa Kenya na nchi za Asia.
Pia kama kuna mamlaka nyinginezo zozote ambazo nitapaswa kupita kabla ya chochote ili kuepusha usumbufu pia kama utakuwa ukifahamu ghadama za hivyo vibali nitashkuru pia.
Nipo Dar.
Natanguliza shukrani.
Ninaomba maelekezo na mwongozo kwa vibali ambavyo mtu/kampuni inapaswa kuwa navyo ili iweze kufanikisha kusafirisha mbao/magogo kwenda nje ya nchi hasa Kenya na nchi za Asia.
Pia kama kuna mamlaka nyinginezo zozote ambazo nitapaswa kupita kabla ya chochote ili kuepusha usumbufu pia kama utakuwa ukifahamu ghadama za hivyo vibali nitashkuru pia.
Nipo Dar.
Natanguliza shukrani.