Naomba nafasi ya uongozi chaputa

Puchu haijawahi kuwa na mpinzani. Cha kushangaza wanaikana mbele za watu wakiwa peke yao puchu ndio mkombozi wao
 
watu wameanza hiyo shughuli tangu kidato cha kwanza mpaka leo wana watoto wapo sekondari tena A level na punyeto zinaendelea kama kawa,hayo madhara wataja kuyapata lini?
achenikupotosha,huwagasielewi kwanini kila kitu kizuri/kitamu lazima kiwekewe zengwe?
hii dunia kuna kitu hakipo sawa,
nguruwe nyama yake waislamu baadhi hawali,ila wanaokula wanajuta kuchelewa kuionja,
wanawake nao tunakatazwa kuwa ni sumu,
punyeto nayo mnasema ina madhara,
bangi nayo mnasema inaleta ukichaa,
pombe hali kadhalika,
kubet nako hapana,including na kamari nyinginezo,
what is so good for this world anyway?
 
aisdee....hahaha..bao 3 mfululizo kwa nyeto """!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…