Naomba nielekezwe

Toba.....[emoji87] [emoji87]
Ukweli sijawahi kuwa na tabia za kutoa ama kuandika/quotes maneno mbaya....
Ebu ngoja nilifanyie kazi kabla adabu yangu haija haribuka
Kwakweli lifanyie kazi tu
 
Mkuu...
Siwezi badili picha yangu eti kwasababu mwingine anaitumia kama avatar...[emoji16] [emoji16]
Huyo tayari anashughulikiwa kama nilivyo mripotia tayari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu...
Siwezi badili picha yangu eti kwasababu mwingine anaitumia kama avatar...[emoji16] [emoji16]
Huyo tayari anashughulikiwa kama nilivyo mripotia tayari
[emoji23] [emoji23] [emoji23] uyo mbaba wa kweny avatar yako namjua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…