Naomba nijulishwe.

mfuga kuku

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2014
Posts
824
Reaction score
650
Hivi kwa mfano mh. mkuu wa wilaya akatoa amri ya mimi kukamatwa, na nikakamatwa nikawekwa ndani kwa zaidi ya masaa 48, hivi ni sahihi kwa yeye kuniweka masaa yote hayo? na kama sio sahihi naomba ushauri wapi nianzie kupeleka malalamiko yangu.
 
Kama kuku wako wanaendelea kuchafua kwa mh.dc. Bora uongezewe masaa ndani tu maana hamna hamna....
 
Umewekwa ndani kwa kosa gani mkuu? Mbona unajielezea kama mtoto wa 6.
 
Kwa wale magwiji wa kufuatilia habari kwenye mitandao ya kijamii e.t.c wajaribu kutabiri huyu jamaa ni nani![emoji1]....mimi nimeshamjua tayari![emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…