Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Mbona mgeni jina lake linaendana na wewe?Hahhaha mgeni ataogopa
Hahahah tutakuwa ndugu si umesikia hapo anatoka tangaMbona mgeni jina lake linaendana na wewe?
hahaha kweli....ningekua sijaoa ningemendea[emoji23]Hahahah tutakuwa ndugu si umesikia hapo anatoka tanga
Hzi ID mpya hiziJamani jamani hata kama nyuzi kumi mkaribisheni tu mgeni mbona mnanitia aibu sijawafundisha hivyo nimewafundisha muwe wakarimu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] si utamtisha mgeni
Karibu SanaaHabar zenu me naitwa shunayla natokea tanga naomba nikarubshwe me mgeni humu jf. Nahitaji ushirkiano wenu
Lakin wewe haahah tuambie basi huyu ni mgeni au wa zamani
Wapi ujazoea majukwaa yapo mengi kutokana Na interested zakoBdo cjazoea
Mkaribisheni vizuriToka juzi unafungua uzi wa kuombwa kukaribishwa tu
Au kuna kitu unakitangaza?!
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85] wewe nakujua fisi mzee wa chelseahahaha kweli....ningekua sijaoa ningemendea[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mambo za husna boss ladyHzi ID mpya hizi
Mh kweli mbona anaonekana mgeni nasikia kashusha thread za kukaribishwa karibia 5Mgeni wapi mwenyeji kabisa huyu
Me nitakuja mkuuKaribu Sanaa
Me naitwa MCHAWI mkuu
Na uwezo wa kusema vitu Na vikawa kweli
Kwa mahitaji ya
Ushaur
Urafiki
Ucheshi
Kampani
Karaha
Shidaaa Na dhiki
Raha Na faraja
Karibu inbox
NB:Jf upo Na kila Aina ya WATU
Wajuaji
Wavivu
Wachangamshi
Matapeli
Wahuni
Vijuso Na roho mbayaa
Ukiwa Jf tarajia kupata vitu hivi
Habari za abunuasi
Habari za kusadikika
Habari za ukweli
Habari za uongo
Matusi Na karaha ni pake pia!
NB:Jf inaweza kukufanya
Siku yako nzima kuharibika
Siku yako nzima kuwa na furaha
Karibu zaidi
Haahahah yaan mi acha tu tuchekeMh kweli mbona anaonekana mgeni nasikia kashusha thread za kukaribishwa karibia 5
Dada una chura cc BehaviouristPicha hyo apoView attachment 757591
Eeh karibu!Me nitakuja mkuu
Hizi mambo za kutupia pic namkumbuka husna the boss lady badae akageuka Erick otienPicha hyo apoView attachment 757591
Ahahahahaha halaf Numbisa akikuambia kitu we jua ni kweli tuHizi mambo za kutupia pic namkumbuka husna the boss lady badae akageuka Erick otien
Sina churaDada una chura cc Behaviourist
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sijui kiwewe cha ugeni kila sehemu anataka kukaribishwaHaahahah yaan mi acha tu tucheke